Mke amkumbatia shemeji mbele ya mumewe

Mke amkumbatia shemeji mbele ya mumewe

Yani jamani Leo nimeona kitu cha kunishtua kidogo! Mtu na shemeji yake mke wa kaka yake wanasalimiana kwa kukumbatiana.

Ajabu iliyoje, tena mbele ya mumewe, hivi huyu mwanamke ana akili kweli? Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?
Huwa inaanza kama utani lakini mwisho wa siku mambo hugeuka kuwa mambo,sikubaliani na huu ujinga hata siku moja ..
 
Mmh! Kwa kuwa mumewe kaona sawa we jirani stahmili tu kwa kweli.

Mbaya kama mumewe yasingemfaa kumbe yamemfaa we fanya yako hayo yao waachie wenyewe wenye mambo ya kidhungu.
Mwambie Huyo, Mimi mwenyewe nimekumbatia avatar yako wakati najua wewe mke wa Mtu. Na Hakuna tatizo.
 
Mwambie Huyo, Mimi mwenyewe nimekumbatia avatar yako wakati najua wewe mke wa Mtu. Na Hakuna tatizo.
Hahahaa. Jamaani Zombi lol.

Mie sioni kama inakuwa nashida ikiwa mwenye mali ameridhia.
 
Hahahaa. Jamaani Zombi lol.

Mie sioni kama inakuwa nashida ikiwa mwenye mali ameridhia.
Kama wewe umeridhia basi Mwenye mali ameridhia, lazima umsupport mwenzio ati. Ngoja mi nipate kajoto Kako kidigitally.
 
Kama wewe umeridhia basi Mwenye mali ameridhia, lazima umsupport mwenzio ati. Ngoja mi nipate kajoto Kako kidigitally.
Hahahaaa. Haya bana ila angalia tu Zombi lisije likakulevya ukajikuta umekuwa teja yaani bila hako kajoto siku yako haiwezi kwenda. Teh.
 
Hahahaaa. Haya bana ila angalia tu Zombi lisije likakulevya ukajikuta umekuwa teja yaani bila hako kajoto siku yako haiwezi kwenda. Teh.
Mimi sio mlafi polepole ndio Mwendo. Ni starter tu ya kuanzia siku. Siku inatakiwa kuanza na mambo Mazuri.
 
Yaani mm mashemeji zangu nawakumbatia na ma kiss juu mbele ya ndugu yao anabaki kutabasamu tu tukiwa chumban namwambia ukinizungua naenda kumpa tunda ndugu yako. Anacheka mwenyewe anasema bora ndugu ila usithubutu nikukute na mtu mwingine ndo utajua Tarime hatoki boya.
 
Back
Top Bottom