Eeeh wewe unaishi wapi kukumbatiana kwani kuna shida gani.Amelala naye kwani?Yani jamni Leo nime ona kitu cha kunishtua kidogo.
MTU na shemeji yake mke wa kaka yake wana salimiana kwa Ku kumbatiana???
Ajabu iliyoje tena mbele ya mumewe.
Hivi huyu mwanamke Ana akili kweli????
Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?
Jaman kuna vitu vingine mpkaa vinachoshaa kwa hiyo ngomaa sio yako unaivaliaa kibwaya ina huuu kama mumewe yupo hapo we chambilecho inakuuma nn??majirani wengine bwana bora ukae msituni peke yako kuliko kuishi karibu na watu kama ww!!
Kakudanganya nani??Sasa wew. Ukisema hivyo Ina maana unachochea usaliti
Huoni Kama hizo n dalili za kuanza kusalitiana?
Shemeji unamkumbatia,baba mkwe unamkumbatia,mamamkwe unamkumbatia,wifi naye marafiki wa mumeo kwani shida ni nini.Ni kweli atapofuka machoWe mkolomije mambo ya mjini huyawezi, utapofuka macho, ohooo!!
Mama mwenyewe huwa ananikumbatia mbele ya Mme wakeYani jamni Leo nime ona kitu cha kunishtua kidogo.
MTU na shemeji yake mke wa kaka yake wana salimiana kwa Ku kumbatiana???
Ajabu iliyoje tena mbele ya mumewe.
Hivi huyu mwanamke Ana akili kweli????
Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?