Ana mfeel shemeji yake yawezekana long time no seeNahisi Kama wana mzunguka jamaa vile.
Sio kwa Ku kumbatiana kule
kwani hata akikukumbatia kuna ubaya?Mbona ni kawaida tu,shemeji angu huubusu mkono wangu pia.
Hakunaaaakwani hata akikukumbatia kuna ubaya?
Wewe ndio wasema. hayanihusuNina mashaka na ushemeji wenu.
Ni wewe tu na ushamba wakoHahahahha
Haya bh n. Mradi unajua kabisa sio vizuri. Shaur yako
sio tatizo ujue....Sana.
Kama ushaga kutanana mayo mkuu
haina shida kabisa....Kwa hiyo we unaona n sawa???
Mpezi wake katulia tu naona mwenyewe anajiaminiSana tu.
We huoni ubaya?
Si ndio mambo ya kizungu hayo ukileta ubishi unaambiwa acha ushamba mbona hujiamini, lakini pia mambo yakiharibika dalili zake hua ni hizohizo za watu kumkumbatia sweetie wako mbele yako mara utani utani mara imekua kweliWanawake sio was kujiaminisha ki hivyo aiseee
Umeonaeeeh???Si ndio mambo ya kizungu hayo ukileta ubishi unaambiwa acha ushamba mbona hujiamini, lakini pia mambo yakiharibika dalili zake hua ni hizohizo za watu kumkumbatia sweetie wako mbele yako mara utani utani mara imekua kweli
WATAJUANA WENYEWE, JOTO LIKIKOLEA WAPEANE TU.[/QUOTE
Maana cha kuokota si chakuiba mwenye mali ni mjinga
Maana chakuokota si chakuiba mwenye mali ni mjingaWATAJUANA WENYEWE, JOTO LIKIKOLEA WAPEANE TU.