Yani mtu Ana mkumbatia shemejie moja kwa moja mikono anaiviribgisha. Huoni hapo n uvunjifu wa aman ya moyo?Labda utueleze wamekumbatianaje, mbona tunakumbatiana mara nyingi tu, kama mtu hamjaonana siku nyingi hug sio mbaya ila tu adabu iwepo.
Akikujibu unitagUnaishi kijiji gani?
Hapo kwenye kuviringisha mikono ndo tatizo,kukumbatiana kupo lkn kwa heshima. Na huyo mumewe ni boya.Yani mtu Ana mkumbatia shemejie moja kwa moja mikono anaiviribgisha. Huoni hapo n uvunjifu wa aman ya moyo?
Kumbatio lipo tangu enzi za YesuNaishi kanyaga twende.
Mtaa was songa mbele.
Kukumbatiana ni ishara mbaya Sana kwa mtu ambae sio mumeo au mkeo
Shemeji teba nina mkiss kabisaWe mkolomije mambo ya mjini huyawezi, utapofuka macho, ohooo!!