Iii jamani pole lakini huku kwetu wala si shida utazoea tu.Naishi kanyaga twende.
Mtaa was songa mbele.
Kukumbatiana ni ishara mbaya Sana kwa mtu ambae sio mumeo au mkeo
Sasa wewe kinachokuumiza nini wakati mke si wako wala shemeji sio wakoDuuh. Japo mim imeniuma sana
We nawe!!! Wa wapi wewe? Cha ajabu hapo nini? Mbona kawaida. Ungekuta anamkumbatia Ba Mkwe si ndo ungechanganyikiwa kabisaYani jamani Leo nimeona kitu cha kunishtua kidogo! Mtu na shemeji yake mke wa kaka yake wanasalimiana kwa kukumbatiana.
Ajabu iliyoje, tena mbele ya mumewe, hivi huyu mwanamke ana akili kweli? Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ulitaka ukumbatiwe wewe?
Huyu ni mshamba sana.
Karne hii unashangaa kukumbatiwa mbona ni kitu cha kawaida mnoo tena sana.
Kanisani tu watu huwa tunakumbatiana ndugu zangu hata dada zangu tusipoonana muda mrefu tukionana tunakumbatiana. Unajua maana yake lakini..