Mke amejifungua mtoto wa kichina

Mke amejifungua mtoto wa kichina

tamu 3

Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
88
Reaction score
216
MKE WANGU AMEJIFUNGUA MTOTO WA KICHINA NA SISI WOTE NI WA AFRIKA TENA WEUSI.

Kaka habari yako ndugu yangu, mimi umenikuta msala tena mzitoo, msala wa aibuuu kaka nimevuliwa nguo!!!! Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka sasa, yani ndoa yetu ina mwaka mmoja...... sasa kwenye harakati zetu za kuongeza familia kama unavyojua swala la ujauzito ni kawaida na nila baraka, kwahiyo mke wangu alivyobeba mimba hata sikushangaa zaidi nilifurahi na kumpa huduma zote kama mke wangu wa ndoa na ukizingatia sijawahi kusafiri kwamba nimuache labda hata wiki, haijawahi kutokea.

Basi imeenda mpaka miezi 9 na wiki iliyopita alijifungua.. ajabu ni kwamba mtoto ni mchina, siyo Albino ni mchinaa😭😭😭 yani nimeaibikaaaaa jamani....

Sijui nimtafune huyu mtoto?? Sijui nimuue mama yake... sijui niwauwe wote ama sijui nijiueee😪 sielewi.
 

Attachments

  • 1744376846872.jpg
    1744376846872.jpg
    255.6 KB · Views: 31
MKE WANGU AMEJIFUNGUA MTOTO WA KICHINA NA SISI WOTE NI WA AFRIKA TENA WEUSI.

Kaka habari yako ndugu yangu, mimi umenikuta msala tena mzitoo, msala wa aibuuu kaka nimevuliwa nguo!!!! Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka sasa, yani ndoa yetu ina mwaka mmoja...... sasa kwenye harakati zetu za kuongeza familia kama unavyojua swala la ujauzito ni kawaida na nila baraka, kwahiyo mke wangu alivyobeba mimba hata sikushangaa zaidi nilifurahi na kumpa huduma zote kama mke wangu wa ndoa na ukizingatia sijawahi kusafiri kwamba nimuache labda hata wiki, haijawahi kutokea.

Basi imeenda mpaka miezi 9 na wiki iliyopita alijifungua.. ajabu ni kwamba mtoto ni mchina, siyo Albino ni mchinaa😭😭😭 yani nimeaibikaaaaa jamani....

Sijui nimtafune huyu mtoto?? Sijui nimuue mama yake... sijui niwauwe wote ama sijui nijiueee😪 sielewi.
Screenshot_2025-04-11-16-35-07-720_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
Screenshot_2025-04-11-16-35-33-447_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
Screenshot_2025-04-11-16-35-24-896_com.instagram.android.jpg
 
MKE WANGU AMEJIFUNGUA MTOTO WA KICHINA NA SISI WOTE NI WA AFRIKA TENA WEUSI.

Kaka habari yako ndugu yangu, mimi umenikuta msala tena mzitoo, msala wa aibuuu kaka nimevuliwa nguo!!!! Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka sasa, yani ndoa yetu ina mwaka mmoja...... sasa kwenye harakati zetu za kuongeza familia kama unavyojua swala la ujauzito ni kawaida na nila baraka, kwahiyo mke wangu alivyobeba mimba hata sikushangaa zaidi nilifurahi na kumpa huduma zote kama mke wangu wa ndoa na ukizingatia sijawahi kusafiri kwamba nimuache labda hata wiki, haijawahi kutokea.

Basi imeenda mpaka miezi 9 na wiki iliyopita alijifungua.. ajabu ni kwamba mtoto ni mchina, siyo Albino ni mchinaa😭😭😭 yani nimeaibikaaaaa jamani....

Sijui nimtafune huyu mtoto?? Sijui nimuue mama yake... sijui niwauwe wote ama sijui nijiueee😪 sielewi.
UKIKUA UTAACHA HUO UTOTO NA KUTAKA ATTENTION KUCHUKUA PICHA ZA KWENYE MITANDAO KUJA ANZISHIA UZI.
 
MKE WANGU AMEJIFUNGUA MTOTO WA KICHINA NA SISI WOTE NI WA AFRIKA TENA WEUSI.

Kaka habari yako ndugu yangu, mimi umenikuta msala tena mzitoo, msala wa aibuuu kaka nimevuliwa nguo!!!! Mimi na mke wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka sasa, yani ndoa yetu ina mwaka mmoja...... sasa kwenye harakati zetu za kuongeza familia kama unavyojua swala la ujauzito ni kawaida na nila baraka, kwahiyo mke wangu alivyobeba mimba hata sikushangaa zaidi nilifurahi na kumpa huduma zote kama mke wangu wa ndoa na ukizingatia sijawahi kusafiri kwamba nimuache labda hata wiki, haijawahi kutokea.

Basi imeenda mpaka miezi 9 na wiki iliyopita alijifungua.. ajabu ni kwamba mtoto ni mchina, siyo Albino ni mchinaa😭😭😭 yani nimeaibikaaaaa jamani....

Sijui nimtafune huyu mtoto?? Sijui nimuue mama yake... sijui niwauwe wote ama sijui nijiueee😪 sielewi.
Hakuna mchina hapo, mpe jina la kimakonde jiandae kulea mtoto mzee
 
Back
Top Bottom