Tanga: Mume aua mke na nduguye kwa wivu wa mapenzi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,107
49,809
Baada ya Wanawake kuwaua waume zao Kwa wivu wa mapenzi huko Sumbawanga naona wanaume wameanza kulipa Kisasa.

Kutoka Tanga Mume amkata mkewe Kwa mapanga na Nduguye kisa wivu wa mapenzi kisha kutokomea kusikojulikana.

=======

Mume.PNG

WANAWAKE wawili wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mkanyageni, Muheza mkoani Tanga, wameuawa kwa kukatwakatwa na panga kwa madai ya wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea juzi baada ya Ally kumtuhumu mke wake, Mwanahawa Khatib kuwa anamsaliti katika ndoa yao.

Mbali na kumuua mke wake huyo, Kamanda Mwaibambe alisema Ally alimuua pia Sauda Sufiani ambaye ni ndugu na Mwanahawa.

Alisema baada ya kutekeleza mauaji hayo akiwa porini, mtuhumiwa alikimbilia kusikojulikana na Jeshi la Polisi mkoani Tanga linamsaka ili hatua za kisheria dhidi yake zichukuliwe.

=======

My Take: Somo la Ustahimilivu lianxishwe haraka sana.
 
Daah. Sijui niilaumu mbunye au niilaumu bangi.
Tatizo ni kwamba zaidi ya asilimia 70 ya watu wanaofanya shughuli za hatari na zinazotumia nguvu wanavuta bangi.
Ina maana siku bangi ikitoweka 'sokoni' uchumi uta collapse. Wale wabeba zege hawatoweza kubeba tena zege, wale wanaolima, hawatoweza tena kulima, wale wanaotapisha vyoo hawetoweza tena kutapisha vyoo, wale mafundi wa Tan es co hawatoweza tena kunyanyua na kusimika yale manguzo, wale wachimba mitaro hawatoweza tena kuchimba mitaro, wanaochimba madini migodini hawatoweza kuchimba tena, walinzi wa usiku watayakimbia malindo yao n.k
Bangi imeleta madhara kwa jamii lakini pia ikiadimika kabisa, inaleta madhara makubwa zaidi kwa uchumi wa jamii!
Pote pote ni shida tu...
 
Daah. Sijui niilaumu mbunye au niilaumu bangi.
Tatizo ni kwamba zaidi ya asilimia 70 ya watu wanaofanya shughuli zinazotumia nguvu wanavuta bangi.
Ina maana siku bangi ikitowrka 'sokoni' uchumi uta collapse. Wale wabeba zege hawstoweza kubeba tena zege, wale wanaolima, hawatoweza tena kulima, wale wanaotapisha vyoo hawstoweza tena kutapisha vyoo.
Bangi imeleta madhara kwa jamii lakini pia ikiadimika kabisa, inaleta madhara makubwa zaudi kwa uchumi wa jamii.
Kwendaa
 
Baada ya Wanawake kuwaua waume zao Kwa wivu wa mapenzi huko Sumbawanga naona wanaume wameanza kulipa Kisasa.

Kutoka Tanga Mume amkata mkewe Kwa mapanga na Nduguye kisa wivu wa mapenzi kisha kutokomea kusikojulikana.

=======


WANAWAKE wawili wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mkanyageni, Muheza mkoani Tanga, wameuawa kwa kukatwakatwa na panga kwa madai ya wivu wa mapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea juzi baada ya Ally kumtuhumu mke wake, Mwanahawa Khatib kuwa anamsaliti katika ndoa yao.

Mbali na kumuua mke wake huyo, Kamanda Mwaibambe alisema Ally alimuua pia Sauda Sufiani ambaye ni ndugu na Mwanahawa.

Alisema baada ya kutekeleza mauaji hayo akiwa porini, mtuhumiwa alikimbilia kusikojulikana na Jeshi la Polisi mkoani Tanga linamsaka ili hatua za kisheria dhidi yake zichukuliwe.

=======

My Take: Somo la Ustahimilivu lianxishwe haraka sana.
AH!!!....mimi kama mimi naona ukimhisi mkeo anachepuka ni fursa nzuri sana kuliko kumuua,ntakachofanya ntamtoa out kwenye sehemu ambayo naimudu kimatumizi nampa vibe na bata kama lote,unaona bwana,alaf wakati wa kurudi namfanyia shopping ya kufa m2,then 2kifika home nampa penzi la kufa mtu nikiwa napigwa jeki na vumbi la congo,then namwambia ajiandae na safari yakwenda kusalimia ukweni kwao,tukifika huko nanunua mbuzi na vinywaji then tukishakula na kunywa ,nawaambia wakwe zangu kwamba"wazee samahanini,nimemrudisha huyu aliyekuwa mke wangu kwani kwa sasa si mke wangu tena kwani ni mzinzi,"baaada ya hapo nasepa,,,ujue kwa nini? MUNGU akikuonesha kwamba mkeo sio mwambinifu ni bahati sana,kwani usingegundua ungeweza kupata maradhi ya zinaa kama ukimwi na kuzaa watoto ambao si wako!!!! na ndo manake unatakiwa umpongeze mkeo,,,hamna haja ya kuua,,,,,kugundua mkeo ni mzinzi sio lazima ufumanie no..ukiona unanyimwa nyumba,,,hakuheshimu,anakutukana mbele za watoto,majirani na ndugu,achana nae haraka sana,usije ukauwa ukaishia jela au ukafungwa au ukaishi maisha kama ya digidigi,maisha matamu bwana,,,,mimi nipo mwenyewe mwaka wa pili sasa,mwanzoni nilipata msongo mkubwa wa mawazo,lakini sanan nipo shwari kabisa!!
 
Daah. Sijui niilaumu mbunye au niilaumu bangi.
Tatizo ni kwamba zaidi ya asilimia 70 ya watu wanaofanya shughuli za hatari na zinazotumia nguvu wanavuta bangi.
Ina maana siku bangi ikitoweka 'sokoni' uchumi uta collapse. Wale wabeba zege hawatoweza kubeba tena zege, wale wanaolima, hawatoweza tena kulima, wale wanaotapisha vyoo hawetoweza tena kutapisha vyoo, wale mafundi wa Tan es co hawatoweza tena kunyanyua na kusimika yale manguzo, wale wachimba mitaro hawatoweza tena kuchimba mitaro, wanaochimba madini migodini hawatoweza kuchimba tena, walinzi wa usiku watayakimbia malindo yao n.k
Bangi imeleta madhara kwa jamii lakini pia ikiadimika kabisa, inaleta madhara makubwa zaidi kwa uchumi wa jamii!
Pote pote ni shida tu...
Kwa uliyoongelea, bangi ikiachwa, kutakuwa na akili za kugundua kuwa hayo yote siku hizi yanafanyika kwa usaidizi wa mashine maalum na kwa ufanisi wa hali ya juu.
 
Kijiji cha Mkanyageni again!! Baada ya kuchomana moto kwa petroli leo ni mapanga na vyote ni mambo ya mbususu naona mkanyageni wameamua kukanyagana
 
Msela amefanana sana na marehemu rugemalira

halafu hili jamaa linapenda sana kuleta habari za kuchefua tu
huna hata habari za kilimo na ufugaji?
 
AH!!!....mimi kama mimi naona ukimhisi mkeo anachepuka ni fursa nzuri sana kuliko kumuua,ntakachofanya ntamtoa out kwenye sehemu ambayo naimudu kimatumizi nampa vibe na bata kama lote,unaona bwana,alaf wakati wa kurudi namfanyia shopping ya kufa m2,then 2kifika home nampa penzi la kufa mtu nikiwa napigwa jeki na vumbi la congo,then namwambia ajiandae na safari yakwenda kusalimia ukweni kwao,tukifika huko nanunua mbuzi na vinywaji then tukishakula na kunywa ,nawaambia wakwe zangu kwamba"wazee samahanini,nimemrudisha huyu aliyekuwa mke wangu kwani kwa sasa si mke wangu tena kwani ni mzinzi,"baaada ya hapo nasepa,,,ujue kwa nini? MUNGU akikuonesha kwamba mkeo sio mwambinifu ni bahati sana,kwani usingegundua ungeweza kupata maradhi ya zinaa kama ukimwi na kuzaa watoto ambao si wako!!!! na ndo manake unatakiwa umpongeze mkeo,,,hamna haja ya kuua,,,,,kugundua mkeo ni mzinzi sio lazima ufumanie no..ukiona unanyimwa nyumba,,,hakuheshimu,anakutukana mbele za watoto,majirani na ndugu,achana nae haraka sana,usije ukauwa ukaishia jela au ukafungwa au ukaishi maisha kama ya digidigi,maisha matamu bwana,,,,mimi nipo mwenyewe mwaka wa pili sasa,mwanzoni nilipata msongo mkubwa wa mawazo,lakini sanan nipo shwari kabisa!!
Hii imekaa mwake
 
AH!!!....mimi kama mimi naona ukimhisi mkeo anachepuka ni fursa nzuri sana kuliko kumuua,ntakachofanya ntamtoa out kwenye sehemu ambayo naimudu kimatumizi nampa vibe na bata kama lote,unaona bwana,alaf wakati wa kurudi namfanyia shopping ya kufa m2,then 2kifika home nampa penzi la kufa mtu nikiwa napigwa jeki na vumbi la congo,then namwambia ajiandae na safari yakwenda kusalimia ukweni kwao,tukifika huko nanunua mbuzi na vinywaji then tukishakula na kunywa ,nawaambia wakwe zangu kwamba"wazee samahanini,nimemrudisha huyu aliyekuwa mke wangu kwani kwa sasa si mke wangu tena kwani ni mzinzi,"baaada ya hapo nasepa,,,ujue kwa nini? MUNGU akikuonesha kwamba mkeo sio mwambinifu ni bahati sana,kwani usingegundua ungeweza kupata maradhi ya zinaa kama ukimwi na kuzaa watoto ambao si wako!!!! na ndo manake unatakiwa umpongeze mkeo,,,hamna haja ya kuua,,,,,kugundua mkeo ni mzinzi sio lazima ufumanie no..ukiona unanyimwa nyumba,,,hakuheshimu,anakutukana mbele za watoto,majirani na ndugu,achana nae haraka sana,usije ukauwa ukaishia jela au ukafungwa au ukaishi maisha kama ya digidigi,maisha matamu bwana,,,,mimi nipo mwenyewe mwaka wa pili sasa,mwanzoni nilipata msongo mkubwa wa mawazo,lakini sanan nipo shwari kabisa!!
Una umri gani?
 
Tanga jamani c tulikubaliana mapenzi yamezaliwa huko, vp sasa na mauaji
 
Daah. Sijui niilaumu mbunye au niilaumu bangi.
Tatizo ni kwamba zaidi ya asilimia 70 ya watu wanaofanya shughuli za hatari na zinazotumia nguvu wanavuta bangi.
Ina maana siku bangi ikitoweka 'sokoni' uchumi uta collapse. Wale wabeba zege hawatoweza kubeba tena zege, wale wanaolima, hawatoweza tena kulima, wale wanaotapisha vyoo hawetoweza tena kutapisha vyoo, wale mafundi wa Tan es co hawatoweza tena kunyanyua na kusimika yale manguzo, wale wachimba mitaro hawatoweza tena kuchimba mitaro, wanaochimba madini migodini hawatoweza kuchimba tena, walinzi wa usiku watayakimbia malindo yao n.k
Bangi imeleta madhara kwa jamii lakini pia ikiadimika kabisa, inaleta madhara makubwa zaidi kwa uchumi wa jamii!
Pote pote ni shida tu...
Acha kusingizia bangi mkuu.
 
Back
Top Bottom