Haya ni maneno ya hapa hapa jf... kupiga mchokoo teke..mama Maria Nyerere,Anna Mkapa,Siti Mwinyi,Laura Bush nk...leo ukiolewa na Bakhresa utataka tz yoote ikujue 'mamaa azam' atakayeita gaijin atajuuta kukujua...ndio zenu hizo tunamijuweni nyinyi..
<br />
<br />Way to go woman......akubadilishe jina kakuzaa au kakununia? :]
<br />