Mkataba wa Umeme 600 MW Tayari

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Serikali Ya JMT chini ya Uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, imeshatiliana saini na Mwekezaji wa kuweka mitambo ya kufuwa umeme wa kutumia makaa ya mawe usiopunguwa Megawati 600.

Zaidi ya hayo ni kuchimba na kuzalisha Chuma, kwa hili Tanzania inakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki.

Ahsante Jakaya, action speaks louder than words.
 
Hebu iweke hapa jamvini nakala yake tukaipitie kabisa kipengele baada ya kipengele kabla haijageuka Richmond na Dowans huko mbele ya safari.

Mkataba wa aina hiyo si ni taarifa ambayo ni mali ya umma, iweke hapa sasa hivi kabla haijavunda na kuanza kunuka hovyo huko mbeleni.
 
Hebu iweke hapa jamvini nakala yake tukaipitie kabisa kipengele baada ya kipengele kabla haijageuka Richmond na Dowans huko mbele ya safari.

Mkataba wa aina hiyo si ni taarifa ambayo ni mali ya umma, iweke hapa sasa hivi kabla haijavunda na kuanza kunuka hovyo huko mbeleni.

Mtakufa navyo vijiba vya roho.
 
Na huu mkataba mmoja ni wa umeme mwingi zaidi ya umeme waliokwisha weka Nyerere, Mwinyi na Nkapa, hata ukijulisha wote kwa pamoja.
Na mingine mitatu kama huo ipo njiani inakuja, final touches.
 
Na huu mkataba mmoja ni wa umeme mwingi zaidi ya umeme waliokwisha weka Nyerere, Mwinyi na Nkapa, hata ukijulisha wote kwa pamoja.
Na mingine mitatu kama huo ipo njiani inakuja, final touches.

all KARL PETER'S SABABU HAWAJUI KILICHO ANDIKWA
 
ZOMBA WEKA HUO MKATABA HAPA TUKAUCHAMBUE

Zomba, kuna vijiba gani tena hapo?

Rais anposaini mkataba hufanya hivyo kwa niaba ya sisi sote kama taifa na wala hafanyi hivyo kwa manufaa ya familia yake kiasi cha kukufanya uone ya kwamba akifanya hivyo basi waraka huo UBAKIE SIRI UVUNGUNI MWA KITANDA mpaka siku itakapozunda kama ya Dowans ndio mnahaha nayo kuileta mezani ili tukawalipe wamiliki majini babari fedha zetu.

Acha kujizungusha bure, weka huo mkataba hapa jamvini tukausome tuone vipengele vyake vimekaeje maana viongozi wetu hawaaminiki tena kwa lolote lile.

Kujaribu tukupeleka macho yetu kwenye umeme Megawatts 600 utakaopatikana utakaopatikana haitoshi, sharti Watanzani tangu sasa na tukapekue kila mkataba unasemaje na ulitayarishwa na wanasheria gani tofauti na wale waliowahi kututumbukiza kwenye janga kubwa kama taifa kufanya bisahara na Majini wasiojulikana sura wala nchi wanakotoka mle ndani ya Dowans.

Zomba najua sana unavyojuta kilichokufanya uanze kujitambisha na mkataba huo wa Mhe Kikwete hapa jf. Kama wewe si mtaalam wa kutundika ovyo threads zisizokuwa na kichwa wala miguu, tundika na huo mkataba hapa, laa sivyo uondoe kabisa kauli za mijigambo hewa hapa na kutuomba msamaha endapo bado chembe cha ustaarabu na ukomavu unanukia kwako.

Karibu kwa mtihani huu.
 
Serikali Ya JMT chini ya Uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, imeshatiliana saini na Mwekezaji wa kuweka mitambo ya kufuwa umeme wa kutumia makaa ya mawe usiopunguwa Megawati 600.

Zaidi ya hayo ni kuchimba na kuzalisha Chuma, kwa hili Tanzania inakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki.

Ahsante Jakaya, action speaks louder than words.

(Kama ni kweli...) I hope JK kakumbuka/kakumbushwa kuandaa mikakati in advance ya kuwalipa fidia maana muda si mrefu watalianzisha - tumeshakuwa shamba la bibi
 
ZOMBA WEKA HUO MKATABA HAPA TUKAUCHAMBUE

Zomba, kuna vijiba gani tena hapo?

Rais anposaini mkataba hufanya hivyo kwa niaba ya sisi sote kama taifa na wala hafanyi hivyo kwa manufaa ya familia yake kiasi cha kukufanya uone ya kwamba akifanya hivyo basi waraka huo UBAKIE SIRI UVUNGUNI MWA KITANDA mpaka siku itakapozunda kama ya Dowans ndio mnahaha nayo kuileta mezani ili tukawalipe wamiliki majini babari fedha zetu.

Acha kujizungusha bure, weka huo mkataba hapa jamvini tukausome tuone vipengele vyake vimekaeje maana viongozi wetu hawaaminiki tena kwa lolote lile.

Kujaribu tukupeleka macho yetu kwenye umeme Megawatts 600 utakaopatikana utakaopatikana haitoshi, sharti Watanzani tangu sasa na tukapekue kila mkataba unasemaje na ulitayarishwa na wanasheria gani tofauti na wale waliowahi kututumbukiza kwenye janga kubwa kama taifa kufanya bisahara na Majini wasiojulikana sura wala nchi wanakotoka mle ndani ya Dowans.

Zomba najua sana unavyojuta kilichokufanya uanze kujitambisha na mkataba huo wa Mhe Kikwete hapa jf. Kama wewe si mtaalam wa kutundika ovyo threads zisizokuwa na kichwa wala miguu, tundika na huo mkataba hapa, laa sivyo uondoe kabisa kauli za mijigambo hewa hapa na kutuomba msamaha endapo bado chembe cha ustaarabu na ukomavu unanukia kwako.

Karibu kwa mtihani huu.

Usongo huo!
 
ZOMBA WEKA HUO MKATABA HAPA TUKAUCHAMBUE

Zomba, kuna vijiba gani tena hapo?

Rais anposaini mkataba hufanya hivyo kwa niaba ya sisi sote kama taifa na wala hafanyi hivyo kwa manufaa ya familia yake kiasi cha kukufanya uone ya kwamba akifanya hivyo basi waraka huo UBAKIE SIRI UVUNGUNI MWA KITANDA mpaka siku itakapozunda kama ya Dowans ndio mnahaha nayo kuileta mezani ili tukawalipe wamiliki majini babari fedha zetu.

Acha kujizungusha bure, weka huo mkataba hapa jamvini tukausome tuone vipengele vyake vimekaeje maana viongozi wetu hawaaminiki tena kwa lolote lile.

Kujaribu tukupeleka macho yetu kwenye umeme Megawatts 600 utakaopatikana utakaopatikana haitoshi, sharti Watanzani tangu sasa na tukapekue kila mkataba unasemaje na ulitayarishwa na wanasheria gani tofauti na wale waliowahi kututumbukiza kwenye janga kubwa kama taifa kufanya bisahara na Majini wasiojulikana sura wala nchi wanakotoka mle ndani ya Dowans.

Zomba najua sana unavyojuta kilichokufanya uanze kujitambisha na mkataba huo wa Mhe Kikwete hapa jf. Kama wewe si mtaalam wa kutundika ovyo threads zisizokuwa na kichwa wala miguu, tundika na huo mkataba hapa, laa sivyo uondoe kabisa kauli za mijigambo hewa hapa na kutuomba msamaha endapo bado chembe cha ustaarabu na ukomavu unanukia kwako.

Karibu kwa mtihani huu.

Ukipenda hizo habari pokea hukupenda ziache kama zilivyo. Si kazi yangu kubandika mikataba JF, mwenyekazi hiyo ni yule kizabizabina wa JF mkjj.
 
Ukipenda hizo habari pokea hukupenda ziache kama zilivyo. Si kazi yangu kubandika mikataba JF, mwenyekazi hiyo ni yule kizabizabina wa JF mkjj.

Kumbe wewe ni Dr Salva Rweyemamu na kwamba hapa ulikua tu kwenye kufanikisha kazi ya kutukana wana jf na kiswahili hicho cha 'rusha roho' na wala si kujibu hoja?

Umeeleweka hadi hapo, kwaheri!
 
Kumbe wewe ni Dr Salva Rweyemamu na kwamba hapa ulikua tu kwenye kufanikisha kazi ya kutukana wana jf na kiswahili hicho cha 'rusha roho' na wala si kujibu hoja?

Umeeleweka hadi hapo, kwaheri!

Ukipenda usipende habari ndio hiyo, kama yale maandamano ya kipuuzi yalilenga hii mikataba isisainiwe, sasa ndio imesha sainiwa, anzisheni kingine.
 
Zomba hulali? Lala, angalau masaa kidogo, azawaisi skrini ya kompyuta itakuchanganya na utaanza kuokota makopo mitaani hivi karibuni. Mawazo na maandiko yako yanaonyesha wewe ni mzee uliyepitwa na wakati kwa hiyo wakati mwengine unastahili kupumzika, japo kwa siku nzima. Utumbo wako umepitiliza kiasi, na sidhani kama kuna mtu anakuchukulia siriaz kwa sasa.
 
Serikali Ya JMT chini ya Uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, imeshatiliana saini na Mwekezaji wa kuweka mitambo ya kufuwa umeme wa kutumia makaa ya mawe usiopunguwa Megawati 600.
Zaidi ya hayo ni kuchimba na kuzalisha Chuma, kwa hili Tanzania inakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki.
Ahsante Jakaya, action speaks louder than words.

Serikali ya wawekezaji! Serikali ya Takwimu! - Kuwa ya Kwanza Afrika Mashariki

Hivi Salva aka zomba una matatizo yoyote ya akili?

JK kutia sahihi na mwekezaji inastahili pongezi zipi? Wajibu wake kama mtawala ni nini?

Acheni kusifia "mgema"!

Hebu tembelea hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aomba-mjadala-wa-ulinzi-kitaifa-kunusuru.html
 
Jeetu baada ya kujenga pale msoga alipewa Mchuchuma na JK...ndio huu mradi...subrini unit na capacity charges zao kwa TANESCO
 
Serikali Ya JMT chini ya Uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, imeshatiliana saini na Mwekezaji wa kuweka mitambo ya kufuwa umeme wa kutumia makaa ya mawe usiopunguwa Megawati 600.

Zaidi ya hayo ni kuchimba na kuzalisha Chuma, kwa hili Tanzania inakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki.

Ahsante Jakaya, action speaks louder than words.

Mbona inaonekana mchakato wenyewe bado kabisa......ndio kwanza wako kwenye mazungumzo HabariLeo | Dawa ya mgawo wa umeme yaja
 
Back
Top Bottom