Mkataba urekebishwe, maisha yaendelee, watanzania ni wamoja

Bob Malik

Senior Member
Oct 1, 2019
121
404
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.


Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.

Waprotestanti, Wakatoriki na Waislamu ni kitu kimoja. Dini tulizoletewa zisitugawe.

Samia ndie rais wetu. Hatuna mwingine!!!

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo huwa hawataki kushauriwa na kushaurika.wanaamini rais hawezi kukosea na hawataki kuonekana kuwa wamekosea.mapinduzi huwa yanaanza hivivihi kupuuza matakwa ya wananchi .machawa wa mama mshaurini kabla mapinduzi ya nguvu ya umma hayajatekelezwa
 
Ingekua rahisi hivyo wangeshafanya hivyo mapema sana.

Kaupitie Kuna ibara inayozuia kufanya changes au kuukataa unalojua tayari umeshasaini!

Ndio mana wanaserikali wanahaha na kuvurigwa Kwa sababu any change watakayoptoporse tunakutana sounth Africa na Sheria za Uingereza, na hawawezi kuondokana nao limewaganda kama kupe.

Hapa wakijaribu kuvunja makubaliano haya kifuatacho ni kudaiwa fedha za Rushwa na fedha halali fidia!

Usishangae kwanini nguvu kubwa hivi inatumika kutetea Hilo dude?

Kina Msukuma na kitenge hawakutumia Hela zao mfukoni kwenda dubei na Kuja kutupigia mdomo. They were give money by those tycoons!
 
Ingekua rahisi hivyo wangeshafanya hivyo mapema sana.

Kaupitie Kuna ibara inayozuia kufanya changes au kuukataa unalojua tayari umeshasaini!

Ndio mana wanaserikali wanahaha na kuvurigwa Kwa sababu any change watakayoptoporse tunakutana sounth Africa na Sheria za Uingereza, na hawawezi kuondokana nao limewaganda kama kupe.

Hapa wakijaribu kuvunja makubaliano haya kifuatacho ni kudaiwa fedha za Rushwa na fedha halali fidia!

Usishangae kwanini nguvu kubwa hivi inatumika kutetea Hilo dude?

Kina Msukuma na kitenge hawakutumia Hela zao mfukoni kwenda dubei na Kuja kutupigia mdomo. They were give money by those tycoons!
Kwani hao DPW sio Binadamu na hawazungumziki?

Kama hawataki kuzungumzia basi sio wa kuaminiwa hata kidogo.

Lazima nchi ifanye kazi na wawekezaji wenye utu.

Serikali iwaalike DPW na uzungumze nao kuhusu kurekebisha vipengele flani vinavyozua taharuki kwa wananchi.

Kama wanasema hayo ni Makubaliano tu na yanaweza kuendelewa kuongea kuna tatizo gani.

Kama hakuna rushwa iliyofanyika basi ni rahisi sana kukaa nao chini na kuwaambia namna bora ya kuanza nao majadiliano.

Mkataba sio Msahafu uwe hauna marekebisho.

Viongozi kunyamazia hili swala ni kuendelea kuzua taharuki kwa wananchi.

Taasisi za dini kama Wakatoriki na Shura ya Maimamu wamesha shauri vya kutosha nashangaa Serikali ni kama imepigwa GANZI.

Rekebisheni huo mkataba DPW aanze na Bandari ya Daresalaam hata kwa miaka 30 ya kumtathimini.

La tuamini kuwa rushwa imewaziba mdomo.
 
Huo sio mkataba ni uhaini


Rais amefanya uhaini

Ipo siku atajibu

Mh Rais anayo kinga Kikatiba ya kutoshitakiwa nawaone huruma wale ambao hawana hiyo fursa. Wakati ukifika tutawsombea Rehema ya Mungu wa Mbinguni kama tulivyo fanya kwa Sabaya na hatimaye ikaja na sheria ya bunge angalau.
 
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.


Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.

Waprotestanti, Wakatoriki na Waislamu ni kitu kimoja. Dini tulizoletewa zisitugawe.

Samia ndie rais wetu. Hatuna mwingine!!!

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Maoni yametolewa ndio, basi waachieni wenye mamlaka utulivu wao ndio watasema na kuchagua lini au wakati gani kuwa marekebisho wamefanya wapi na wapi ila si busara kuweka presha na kutaka kupewa majibu leo leo hilo halitatokea hata siku moja state haiwezi kuyield kwa presha halafu itoe ushindi kwa wakosoaji hilo gumu kutokea huwa inanamna zake za kutenda na mwishowe itatoa habari ila sio kwa kuiwekea presha halafu ionekane haina nguvu kuwa inaweza kuendeshwa tu hilo tusahau.
 
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.


Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.

Waprotestanti, Wakatoriki na Waislamu ni kitu kimoja. Dini tulizoletewa zisitugawe.

Samia ndie rais wetu. Hatuna mwingine!!!

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja
P
 
Maoni yametolewa ndio basi waachieni wenye mamlaka utulivu wao ndio watasema na kuchagua lini au wakati gani kuwa marekebisho wamefanya wapi na wapi ila si busara kuweka presha na kutaka kupewa majibu leo leo hilo halitatokea hata siku moja state haiwezi kuyield kwa presha halafu itoe ushindi kwa wakosoaji hilo gumu kutokea huwa inanamna zake za kutenda na mwishowe itatoa habari ila sio kwa kuiwekea presha halafu ionekane haina nguvu kuwa inaweza kuendeshwa tu hilo tusahau.

Hata Mfalme Sauli wa Biblia alikuwa na wdpapembe wa aina hii. Matokeo yake yako hapo 1 Samuel 15: 22-28. Huwezi kuwapuuza viongozi wa dini ukabaki salama. Hasa pale tunapoambiwa Mamlaka zote za Wanadamu zinatoka kwa Mungu wa Mbinguni. Kumbuka Mungu anataka mwenye haki mmoja tu baal ndiye anaye taka manabii wengi wa kuita moto.
 
Watanzania wote wanasema wanahitaji uwekezaji bandarini ila huu mkataba ni mbovu unahitaji marekebisho

Haita kuwa nyepesi kuwa hili jambo kuwa litaisha hivihivi kama tulivyo zoea huko nyuma kuwa kelele ni za muda mfupi kisha wananchi watasahau mambo yataendelea kwa jinsi ninavyoona kelele ndio kwanza zinaanza na kwa kadili serikali inavyojaribu kupangua hii hoja ndivyo wanavyochochoa hisia za hasira miongoni mwa wengi

Bandari ni swala kubwa watu hawatakaa kimya kamwe na kila uchao kelele zitaongezeka na makundi tofauti yatakuja mbele kudai bandari na wengine hawatakuwa na busara za TEC na hapo ndio machafuko yatakapoanza

ilikuwa hekima ndogo tu kuupitia upya na vifungu vyote vibovu kuondolea na maisha yaendelee lakini watawala wanakunja shingo na kuziba masikio ni muda wa anguko kwa taifa

Nategemea kuona anguko kubwa sana Tanzani vitu kama machafuko, watu kuuawa, kupambikiwa kesi na maovu mengi kuongezeka katika jamii kama serikali itaendelea na msimamo wake huu,
 
Hata Mfalme Sauli wa Biblia alikuwa na wdpapembe wa aina hii. Matokeo yake yako hapo 1 Samuel 15: 22-28. Huwezi kuwapuuza viongozi wa dini ukabaki salama. Hasa pale tunapoambiwa Mamlaka zote za Wanadamu zinatoka kwa Mungu wa Mbinguni. Kumbuka Mungu anataka mwenye haki mmoja tu baal ndiye anaye taka manabii wengi wa kuita moto.
Sio kupuuzwa tu kule nchini Bahrain wote ni waislamu ila wamenyonga kabisa masheikh wa washia kwa kutaka kuvuruga umoja na utulivu wa taifa lao na lipo hadi leo ktk taifa lolote litalindwa na watu wake kwa kusimamia misingi ya utaifa anayechezea misingi hiyo sio wa kuchekewa hata awe nani .
 
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.


Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.

Waprotestanti, Wakatoriki na Waislamu ni kitu kimoja. Dini tulizoletewa zisitugawe.

Samia ndie rais wetu. Hatuna mwingine!!!

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Tatizo ni kwamba wahusika wameziba masikio! Ni kama wamesema liwalo na liwe!! Hakuna anayekataa uwekezaji lakini aina hii ya uwekezaji kwa mkataba huu wa bandari ni ukwapuaji na si uwekezaji! Tena ukwapuaji wa mabavu!! Huwezi kuamini viongozi wameamua kukaa kimya na wanajisifia kabisa kuwa wameamua kukaa kimya!! Haiwezekani ukasikia mayowe ya watu wakimpigia mayowe mwizi halafu wewe si tu kwamba ukakaa kimya bali ukajisifu hadharani kwa kukaa kimyaa!! Tafasiri yake ni kwamba wewe na mwizi ni kitu kimoja!! Naunga mkono mkataba urejewe upya na vipengere vya kiwiziwizi vifutwe!! Uwe na muda maalumu na mwekezaji asikubaliwe kupewa bandari zote, na kuwepo na fursa ya wawekezaji wengine shindani!!​
 
Si uungwana kuchanganya siasa na dini. ..



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Suala la mkataba si siasa ni uchumi. Kila mtu ana haki ya kushiriki katika uchumi wa nchi hata viongozi wa dini. Kumbuka wanasiasa wanaosema hivyo kwenye siasa zao kuna watu wa dini ni makada. Kosa ni wakatoliki kuainisha mapungufu na madhara ya mkataba kiuchumi kwa vizazi vya sasa na vijavyo vya maskini wa nchi hii.

Wapuuzi ndiyo wanalifanya kuwa ni siasa. Na ndilo tatizo kubwa la tanzania. kila kitu hugezwa kuwa siasa ili wengi wapumbazike waachie wahuni wachache waendelee kunyonya nchi.
 
Mkataba una mapungufu mengi sana. Serikali ikae nq wataalam wa mikataba ya uwekezaji wenye uzalendo wa juu. Wapitie vifungu tata...virekebishwe na uletwe tena bungeni kupitiwa na kupitishwa.


Si uungwana kuchanganya siasa na dini. Madhara yake ni makubwa sana.

Waprotestanti, Wakatoriki na Waislamu ni kitu kimoja. Dini tulizoletewa zisitugawe.

Samia ndie rais wetu. Hatuna mwingine!!!

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
IGA haina pungufu lolote. Tusichoshane.
 
Unaogopa kusema mkataba ni mbovu kisa usipondwe , rais ni we2 sipingi Ila sikila afanyalo ni chema , mkataba gani hauna mwisho ,wala kwa zile leaked templates hausemi watawekeza nini .
Unampaje mtu bandari fully furnished na kila kitu hivo tu ???
Hamna Cha muislamu mwenzangu hapa , teteeni haki pale mnapoona makosa ,hata jiwe alikuwa na upuuzi wake Ila yule mkristo sikuona akipeana Mali ya nchi kizembe
 
Tatizo ni kwamba wahusika wameziba masikio! Ni kama wamesema liwalo na liwe!! Hakuna anayekataa uwekezaji lakini aina hii ya uwekezaji kwa mkataba huu wa bandari ni ukwapuaji na si uwekezaji! Tena ukwapuaji wa mabavu!! Huwezi kuamini viongozi wameamua kukaa kimya na wanajisifia kabisa kuwa wameamua kukaa kimya!! Haiwezekani ukasikia mayowe ya watu wakimpigia mayowe mwizi halafu wewe si tu kwamba ukakaa kimya bali ukajisifu hadharani kwa kukaa kimyaa!! Tafasiri yake ni kwamba wewe na mwizi ni kitu kimoja!! Naunga mkono mkataba urejewe upya na vipengere vya kiwiziwizi vifutwe!! Uwe na muda maalumu na mwekezaji asikubaliwe kupewa bandari zote, na kuwepo na fursa ya wawekezaji wengine shindani!!​
Uelewa ni tatizo kubwa sana Tanzania, hizi elimu zetu za kuungauunga ni lazima siku moja ilikuwa zije kuonyesha madhara yake.

Kuna wawekezaji watatu wanapewa hiyo bandari, DPW hayupo peke yake. Hili povu lote unaloandika litawagusa hao wawekezaji au ndio linaisha na hawa hawa waarabu?.

Kuna mwekezaji anayekuja kuwekeza gati namba nane mpaka kumi na mbili, na yeye ajiandae kupigwa zengwe?.

Kuna mwekezaji anakuja kuwekeza Bagamoyo, na yeye ajiandae kuandikiwa waraka utakaosambazwa makanisani?.
 
Suala la mkataba si siasa ni uchumi. Kila mtu ana haki ya kushiriki katika uchumi wa nchi hata viongozi wa dini. Kumbuka wanasiasa wanaosema hivyo kwenye siasa zao kuna watu wa dini ni makada. Kosa ni wakatoliki kuainisha mapungufu na madhara ya mkataba kiuchumi kwa vizazi vya sasa na vijavyo vya maskini wa nchi hii.

Wapuuzi ndiyo wanalifanya kuwa ni siasa. Na ndilo tatizo kubwa la tanzania. kila kitu hugezwa kuwa siasa ili wengi wapumbazike waachie wahuni wachache waendelee kunyonya nchi.
Maaskofu wakiwa ni viongozi wangu wa kiroho ninawaheshimu sana lakini kuandika waraka na kuusambaza makanisani ni sawa na kutangaza vita na mamlaka. Pia kusema kuwa wataalam wa kanisa walikaa nao na kuwashauri ndio wakaja na maamuzi yale ni ukosefu wa heshima kwa wataalam wa serikali na ni ukosefu wa heshima kwa taratibu za kimaadili zinazoliongoza taifa hili.

Vyovyote watakavyojitetea ukweli unabakia kuwa wamekosa heshima kwa mamlaka kuu ya nchi, ingekuwa ni huko maofisini tungeita insubordination hicho walichokifanya, ni kumkosea adabu bosi wako.

Nani aliyewaambia kuwa huo ushauri walioupata mpaka kufikia kuandika waraka ni sahihi kuliko maamuzi ya kiserikali ya kuita mwekezaji pale bandarini?, huu ni utaratibu mpya watakaouendeleza au unaanza na kumalizikia na DPW?. maana kuna mikataba mingi sana inayoandikwa na kuingiwa kati ya serikali na wadau wa maendeleo kila kukicha.
 
Back
Top Bottom