Mkasi ya Leo si ya kukosa!

Mkasi ya Leo si ya kukosa!

Gpa 4.9 economics haina manufaa sana kama alikua kichwa hivo angesoma science.
 
Mungu amsaidie aweze hata tumia akili alizonazo atuondoe kwenye hii great economic depression, nakumbuka kipindi kile nasoma Pugu pale baada ya kuwa T.O walimleta wakawa wanasema ni Chegere Day tukala wali cku hiyo
 
Hana unanja huo huyo,hapo atakua anasubiri kifundisha ud

Hilo ndo tatizo hasa la hii system yetu ya Elimu but jamaa alienda kusoma Chuo kikubwa kama ckosei Marekani kusomea udoctor
 
Back
Top Bottom