Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

Hatimaye Martin Chegere awa Profesa wa Uchumi

Isenye

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2024
Posts
1,425
Reaction score
3,826
Huyu jamaa ameendelea kutoa hamasa ya vijana kujituma katika masomo.
Hatimae amekuwa Profesa wa uchumi katika chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Pia soma Martin Chegere ni mmoja wa hazina ya vijana Tanzania

Screenshot_20260625_072111_Instagram.jpg
 
Mbona mimi nimeona Dr. au macho yangu hayaoni vizuri
 
Huyu jamaa ameendelea kutoa hamasa ya vijana kujituma katika masomo.
Hatimae amekua professor wa uchumi katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
Huyo mtu yuko vizuri sana, PUGU SECONDARY EGM 2005 - 2007...............TANZANIA ONE.
 
Huyu jamaa ameendelea kutoa hamasa ya vijana kujituma katika masomo.
Hatimae amekua professor wa uchumi katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
So what? Profesa mbona ni mwalimu tu wa daraja la juu !!

Usijipe matumaini makubwa kujisikia unaitwa Profesa. Wewe ni mwalimu sawa na wa Ndumbwi Primary au Ulongoni Secondary school, ila wewe mahali pako pa kazi ni Chuo Kikuu cha Dar
 
Kwanini umeandika "hatimaye"
Naona kajitahidi sana maana bado mdogo
 
Huyu jamaa ameendelea kutoa hamasa ya vijana kujituma katika masomo.
Hatimae amekua professor wa uchumi katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
Mkuu - Amekuwa Associate Professor - Na sio Professor (Full). Kuna tofauti...
 
Hongera sana kwa Profesa Martin Chegere kwa hatua hii kubwa kielimu! Hakika ni jambo la kujivunia na linatoa hamasa kubwa sana kwa vijana wengi wanaopambana na masomo yao.

Kufikia daraja hili la uprofesa, iwe ni Associate au Full Professor, ni matokeo ya miaka mingi ya bidii, kujituma, utafiti na kujitolea. Hii si kazi ndogo hata kidogo, na ni heshima kubwa kutambuliwa katika ulimwengu wa kitaaluma.

Ni kweli, mwalimu ni mwalimu, lakini kufikia ngazi ya uprofesa kunaonyesha kiwango cha juu cha utaalamu na mchango mkubwa katika nyanja yake. Watu kama yeye wanatupa motisha kuwa juhudi zetu zinaweza kuzaa matunda na kuchangia maendeleo ya taifa kwa njia mbalimbali, ikiwemo kupitia elimu na utafiti.

Tuendelee kumtia moyo na kujifunza kutoka kwake. Kila la heri kwake katika majukumu yake mapya!
 
Huyu jamaa ameendelea kutoa hamasa ya vijana kujituma katika masomo.
Hatimae amekua professor wa uchumi katika chuo kikuu cha Dar es salaam.
Ndio wale waliookotwa majalalani na Magafuli. Hawana lolote hao.
 
Back
Top Bottom