..@red, Chonde chonde kama hukubaliani na jambo flani sio lazima utumie lugha isiyo ya kistaarabu kuwasilisha fikra zako binafsi hapa jamvini. Kama hukubaliani nae na hiko kipindi basi tuma maoni yako kwake moja kwa moja.salama ajipange kwakweli kipindi chake ni ushuzi mtupu mimi hata sijaelewa alikuwa anaelezea nini, kapo kapo tu , simchukii ila namuambia ukweli kaanza vibaya
salama ajipange kwakweli kipindi chake ni ushuzi mtupu mimi hata sijaelewa alikuwa anaelezea nini, kapo kapo tu , simchukii ila namuambia ukweli kaanza vibaya