Sarafina1
Senior Member
- Mar 28, 2011
- 153
- 85
Aseme ni mkojo wake yeye mwenyewe:lol::lol:, hivi ukiangalia mkojo kwa macho utajua huu ni wa mwanamke au huu ni wa mwanaume???
Kabeba kipimio kilichopimiwa mimba mfukoni mwa suruale yake na si mkojo kama mkojo. sasa toka lini mwanamume akapima mimba? ndio ajibu sasa