- Thread starter
- #81
Yaani unanitesa kisaikolojia,kila SAA nachungulia Kama umeendeleza
Nimerud mama
Yaani unanitesa kisaikolojia,kila SAA nachungulia Kama umeendeleza
Nimerud mkuu,nimeomba maelekezo ya kupost tena pale mwanzo,hakuna alienielewesha
teh nmependa hapo pa utaendelea badae cm inakata chaji
wachaaa! Leo vp hakuna rafki yako aliyekuletea kisa?
khakhakhaaa acha upashkuna mie tena mama nspitwe ningeshakileta zamaniiiiiiii. Vipi wewe hujafika chuo??
Muendelezo.
Basi alipojua mahali nilipo akatinga maskani kijijini,akanikuta nimekaa na bimkubwa tunachoma mahindi.mi nlipomuona nlishtuka sana sababu sikujua amepajuaje,ghafla hisia zikanijia rafiki yangu uledi atakuwa amemwambia nilipo.nikawa nimeinama naanza kulia kwa hasira,mama akanisogelea kaanza kunibembeleza pamoja na huyo demu wangu.mi nkawa nina hasira mpaka natetemeka nkawa nanyanyuka nimtie kichwa kimoja afe tu,ghafra akageuka jini,yaani kama barakuda kama umeishawahi muona kwenye muvi za kinigeria.
Sasa wakati mimi na mama tunatetemeka huku tunarudi kinyumenyume,akatokea babu mmoja pale kijijini na panga[machete]akamvizia akamkata unywele mmoja,baada ya kukatwa unywele demu wangu akaangua chini,yule mzee akanikabidhi ule unywele akaniambia nikauunganishe pamoja na nyele zangu za chini kisha nichome moto huku nataja jina la huyo demu wangu.nikafanya hi vyo,unajua nini kilitokea?????????
Subiri nimtumbue mtu jipu nakuja.
Muendelezo.
Basi alipojua mahali nilipo akatinga maskani kijijini,akanikuta nimekaa na bimkubwa tunachoma mahindi.mi nlipomuona nlishtuka sana sababu sikujua amepajuaje,ghafla hisia zikanijia rafiki yangu uledi atakuwa amemwambia nilipo.nikawa nimeinama naanza kulia kwa hasira,mama akanisogelea kaanza kunibembeleza pamoja na huyo demu wangu.mi nkawa nina hasira mpaka natetemeka nkawa nanyanyuka nimtie kichwa kimoja afe tu,ghafra akageuka jini,yaani kama barakuda kama umeishawahi muona kwenye muvi za kinigeria.
Sasa wakati mimi na mama tunatetemeka huku tunarudi kinyumenyume,akatokea babu mmoja pale kijijini na panga[machete]akamvizia akamkata unywele mmoja,baada ya kukatwa unywele demu wangu akaangua chini,yule mzee akanikabidhi ule unywele akaniambia nikauunganishe pamoja na nyele zangu za chini kisha nichome moto huku nataja jina la huyo demu wangu.nikafanya hi vyo,unajua nini kilitokea?????????
Subiri nimtumbue mtu jipu nakuja.