Mkasa wangu

Mkasa wangu

Tatizo la mtoa mada inaonekana ni mtu mwenye nyodo sana..,so anataka tumpetipeti ndo aje kuendeleza kisa tu ashajua tumeipenda story take. mabwiku acha hizo
 
Tatizo la mtoa mada inaonekana ni mtu mwenye nyodo sana..,so anataka tumpetipeti ndo aje kuendeleza kisa tu ashajua tumeipenda story take. mabwiku acha hizo

Apana majukumu tu,bt leo naweka usiwe na shaka.
 
Samahani kwa kua kimya wana jamii,kwanza nitoe shukran kwenu kwa wale mliokua mnafatilia simulizi hii,hii simulizi imenikutanisha na mtu ambae sikuwai kufikiri wala kuwaza kua na ukaribu nae hata kidogo,
Iko ivi,baada ya watu kuniandikia maneno ya kuboa na kuchukiza humu ndani,niliomba kwa mwenye huitaji wa mwendelezo aje inbox ntatuma,walikuja wengi sana inbox nikaona napo nikazi kutuma kwa kila mtu kwan walikua wengi mno,,ikanibidi niwe mpole tu nirudi kule,kuna mtu alikua anasumbua sana nimpe namba make anashida ya msingi sana tuzungumze,mi sikujali nikapotezea,
Aliendelea kuni pm lkn sikujibu kitu,alichofanya akatafuta post zangu za nyuma akachukua namba akanipigia,kuna post nilipost kipnd flan kuomba msaada wa mawazo ya ugonjwa wa mtoto wangu pacha wa kike,na pale nilikua naitaji msaada wa haraka ikabidi niweke namba zangu,basi akapiga then akajitambulisha na kunambia yeye ni yule ambae alikua ananitafuta jf,nikasema poa nambie,akanambia anaitaji kufaham mwendelezo wa hadith yang japo kwa kifupi ili tufanye kitu,nikamwambia sawa lkn haiwezekan niongee na simu muda wote huo kwa kukusimulia simulizi,tafuta njia nyingine na sio iyo,nikamwambia nakuja dar siku flan je hawezi kuvumilia kidogo kama atakua poa nitamcheki tuonane dar,akakubali ila akanambia usitoe mwendelezo kwanza mpaka tutakapo chekiana,siku naenda dar nikamwambia nakuja dar ila nakaa siku mbili tu then narud,akasema ukifika airport kesho unitafute,nikamwambia na muda nitakao ondoka na nindege ya saa ngapi,,

Nilifika jk nikampigia akanambia yupo nje alikuja na mark-x black iv,ile nasogea si akashuka kwenye gari,dah sikutarajia kabisa ugeni ule,nikajitambulisha nae akanambia kua ndie alikua akinitafuta,nikampa location yang kwa muda ule akanipeleka na story mbili tatu tukapiga,,

Nakuja

Mbona unatufanyia ivo mabwiku jamani si umalizie tuuu.
 
toa kitabu hiyo story ya maisha yako watu watanunua kwa wingi promo kitapigiwa hapa JF na huko insta na FB nina uhakika kitauza kwa wingi
hizo habari chaji imeisha unakuja unaenda hazina tija kabisa zinaboa kama si kukela
 
Huyu ww mtoa maada unachohadithia ni nn? Hivi unafikir kila mtu ni jinga kama ulivyo ww? Kwenda zako usirudi tena
 
Back
Top Bottom