Mkasa wa maisha yangu

Status
Not open for further replies.
Kutapeliwa katika hali ya kumsaidia mtu....kuna baraka kwa mwenyezi mungu...
 
Nina imani baada ya wadau kuhakiki hicho ulichoandika tutajitoa kwa kidogo tulicho nacho kuhakikisha una piga shule kadri ya ukomo wa kichwa chako
 
nilitaka kuingia kichwakichwa nimsaidie bora nimesoma comment zenu zimenifumbua macho
kumbe ndo zake anatapel kupitia mitandao heee ameshafumwa hajui kuwa hapa ni jf imara
Huyu Mbaga Michael ni tapeli aliwahi kuomba mchango wa kumtibia babake kule facebook 2011, alidai kalazwa bugando hutu.
 
Njaa kali

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Mtu hana school fees ana simu mbili?

Ukiona ji-habari reeefu ujuwe ni utapeli. Mwenye shida ya ukweli haombi msaada mtandaoni.

Mwenye kutaka msaada kweli huwa hana wakati wa kutunga kisa cha maisha yake!

Wana JF jichungeni, huu ni utapeli hakuna zaidi. Msiseme watu wazima hatuja-wa-tanabahisha.
 
Nenda shule. Weka taratibu zote sawa pesa tunakutolea. Ila pesa zote zitatumwa kwa mkuu wa shule.
 
hacha uvivu wa kufikiri,simu nikitu kisichoepukika unaweza lala njaa ili ununue simu...
 

huyo ni tapeli......
 
Utapeli in action. Huyu jamaa alifungua akaunti hii inaonyesha kwa ajili ya hii misheni .Hili msiwe na doubt akafanya na verification kabisa. Kuna statement anasema yupo Dom toka 2012 na hajaenda Mwanza. Kuna mawili hapa. Aidha huyu dogo account yake imekuwa hacked baada ya kusahau ku log out kwenye internet Cafe au yeye mwenyewe ndo tapeli.
 
Mr [MENTION=101135]@Michael Mbaga watu wanasema wanakufaham na ulishawahi kutapeli huko mwanza sasa wawekee picha yako hapa kuthibitisha kuwa sio wewe na wanakufananisha. Weka kapicha pliiiizzz. Pia weka namba ya mkuu wa kituo unachotarajia kufanyia mtihani tuwasiliane nae kwa uthibitisho zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…