P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,192
- 625
Sio ustaarabu lakini. Kijana kaweka kila kitu wazi kabisa bila kuficha. sasa kama unajua kuna tukio alifanya si ulitaje sasa! Mdogo wangu Mbaga Michael, watu wote humu sio wanafiki kama huyu jamaa, naamini utapata watu wa kuweza kukusaidia shida yako. Kwa sasa mimi naomba univumilie sina nafasi. nipo porini.
Mi nimeshamaliza hapo,wenye upeo watakuwa wamenielewa.
Last edited by a moderator: