Mkasa wa maisha yangu

Mkasa wa maisha yangu

Status
Not open for further replies.
Sio ustaarabu lakini. Kijana kaweka kila kitu wazi kabisa bila kuficha. sasa kama unajua kuna tukio alifanya si ulitaje sasa! Mdogo wangu Mbaga Michael, watu wote humu sio wanafiki kama huyu jamaa, naamini utapata watu wa kuweza kukusaidia shida yako. Kwa sasa mimi naomba univumilie sina nafasi. nipo porini.

Mi nimeshamaliza hapo,wenye upeo watakuwa wamenielewa.
 
Last edited by a moderator:
Mi nimeshamaliza hapo,wenye upeo watakuwa wamenielewa.

Acha unafki mkuu, kama anakabiliwa na mashtaka kwanini usimuanike wazi watu tufahamu?

Watu kama nyie hamna maana kabisa katika Jamii,.

Kwani umelazimishwa kumsaidia? Kama huna la maana nyamaza kimya.

Mchawi mkubwa wewe
 
we mchelemchele kweli,...

Acha utoto!
Muda mwingine kuanika madudu ya mtu hata kama ni kweli kuna haja ya kuweka mipaka. Mkuu P. Majaribu warushie Mods taarifa uliyonayo kuhusu huyu dogo ilikutenda haki na kwa hadhi na heshima ya Jf.
Natumai Mkuu Invisible hili atakuwa ameliona.
 
Last edited by a moderator:
Acha utoto!
Muda mwingine kuanika madudu ya mtu hata kama ni kweli kuna haja ya kuweka mipaka. Mkuu P. Majaribu warushie Mods taarifa uliyonayo kuhusu huyu dogo ilikutenda haki na kwa hadhi na heshima ya Jf.
Natumai Mkuu Invisible hili atakuwa ameliona.

Utoto gani wewe,.

Kwanini asiweke wazi Jambo hilo na ushahidi kabisa badala yake anaamua kumchafua mtu aliyekuja kuomba msaada?

Huoni kama P. Majaribu kakosa busara?
 
Last edited by a moderator:
Facebook unatumia jina gani?
Km sikosei ulitangaza kuwania ubunge huko mwanza,2015 je ni wewe
 
Bahati nzuri mie niko Dodoma kwa sass kama ukiweka wazi jina LA shule kituo gani na genuine contacts naweza fika pale na kurahisisha proof ya ombi lako kwa wana jf.

Ukithibitisha nitachangia
 
Jamani tuwe serious kama kuna mtu anamjuwa Dogo vizuri atupe details zake ili tuweze kusaidiana ata kimawazo
 
Bahati nzuri mie niko Dodoma kwa sass kama ukiweka wazi jina LA shule kituo gani na genuine contacts naweza fika pale na kurahisisha proof ya ombi lako kwa wana jf.

mkuu vizuri basi nipigie nipo dodoma makulu
 
Watu wengne hawajielew.una ktu kwann usseme badla yake unaandka kmafumbo.tenaaaa, unashndwa tolea ufafanuz unajazA comment za ubsh tu.hebu kuwa serious kama wewe ulsoma mwenzio ndo huyoo anataka asome acha uchz.
Dogo Michael utakuwa mdogo wangu coz nam naitwa ........Michael. ngoja taarfa zkamlke then takuchangia Mungu atie wepes usome mtoto wa baba.pole sana, hayo ndo ya dunia.
 
Kiukweli JF tuwe wastaarabu. Kama dogo ana Madudu..Hebu yaweke wazi hapa..acha mafumbo mafumbo hapa. We can only say una Lako jambo na huna nia njema na dogo anayeomba support. Au umemfananisha?
 
Dogo usipende kuita 'simanzi' mitihani ya kimaisha unayopitia. Those are challenges ambazo zinakujenga kiakili. Wewe umeweza hata kuja kupost humu, kuna mwingine hata wa kumueleza tatizo lake hana achilia mbali wa kumsikiliza. Maisha yako yakiwa rahisi rahisi toka chini, huko juu ukipata kijitatizo kidogo unaweza kunywa sumu and thats bad.
Anyway... ngoja tupate uthibitisho...
 
Mtoto mdogo anapangilia maneno na kuandika kwa hekma kiasi hiki? ..kweli katoto haka? Si kwweli. Naungana na wanaomtilia shaka!.. hata hivyo mi siwaamini sana watu wanoomba msaada kwa watu wasiowajua...wengi ni matapeli mnaopenda kutapeliwa enndeleeni.
 
Kuna mtu hm jf aliwahi kusema kuwa kunawatu wamesoma mpaka wakakataa shule, kama taarifa zikithibitishwa dogo utaenda shule worry out, jaman thibitishen ombi hili!!
 
Mtoto mdogo anapangilia maneno na kuandika kwa hekma kiasi hiki? ..kweli katoto haka? Si kwweli. Naungana na wanaomtilia shaka!.. hata hivyo mi siwaamini sana watu wanoomba msaada kwa watu wasiowajua...wengi ni matapeli mnaopenda kutapeliwa enndeleeni.

Kuweni makini mkuu,dunia hii ina mambo mengi.
 
Facebook unatumia jina gani?
Km sikosei ulitangaza kuwania ubunge huko mwanza,2015 je ni wewe

Kulikua na group kabisa FANIKISHA USHINDI WA Mbaga Michael. hii thread imenifanya niwaze sana, btw napenda sana vijana wenye kiu ya elimu nipo tayari kumchangia endapo Mods watathibitisha ukweli wa ombi hili kama wadau walivyo omba.
 
Kulikua na group kabisa FANIKISHA USHINDI WA Mbaga Michael. hii thread imenifanya niwaze sana, btw napenda sana vijana wenye kiu ya elimu nipo tayari kumchangia endapo Mods watathibitisha ukweli wa ombi hili kama wadau walivyo omba.

Mkuu utakuwa umefananisha majina.

Nakumbuka Mh. Michael Mbaga aligombea udiwani Upanga Magharibi Jiji Dar kupitia CCM akapita, kwa hiyo hawezi kuwa huyu kijana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom