Mkasa wa maisha yangu

Mkasa wa maisha yangu

Status
Not open for further replies.
Kuna siku niliwahi kumpa binti lifti ndani ya dakika 15 hadi kufika mjini nilielezwa "shida na mikasa ya Maisha" karibia niingie mkenge.... Nilikuja kushtuka masaa kadhaa baadae nilipomkuta baa anachapa kilaji, wakati aliniaga anaenda Dar haraka, mume wake yuko rumande...
 
Sasa mtu kama una uhitaji kweli si kuna mtu kakwambia yuko Dom umejaribu kuwasiliana nae na kumhakikishia kituo chako unachosomea na walimu wako? Hii inaleta wasiwasi kidogo.
Na mods wamefikia wapi?
 
Mkuu watu wengine wan yao basi tu, mimi tangu 2012 nipo dodoma ilo tukio nilifanyaje wakati nilikuwa huku
Dodoma sehemu gani?
Sekondari gani uliyojiandikisha kurudia hiyo mitihani?
funguka zaidi tukuelekeze kwani Wabunge wa Ukerewe wapo, na Mbunge wako aliacha kazi hapa Dodoma kwenda gombea huko kwenu, kuna umoja wa watu wa Ukerewe na kiongozi wao anaitwa J. Mtani zunguka mjini waulize wana misaada kibao.
km ni Mbagga wa upareni kote huko utapata misaada
Mwisho fika Kanisa lolote jielezee haya yote misaada ipo na Elimu utalipiwa
sina cha zaidi na mm nipo Dodoma

 
Mtoto mdogo anapangilia maneno na kuandika kwa hekma kiasi hiki? ..kweli katoto haka? Si kwweli. Naungana na wanaomtilia shaka!.. hata hivyo mi siwaamini sana watu wanoomba msaada kwa watu wasiowajua...wengi ni matapeli mnaopenda kutapeliwa enndeleeni.
Miaka 23 ni mtoto??!!!!!! Utakuwa umezoea watu ambao si wakomavu wa fikra wewe. Mbona hii kazi inaweza hata kufanywa na mtoto wa miaka 14-16 tu.
 
mods tunaomba ufutilie uyu dogo kama asemayo ni kweli tumsaidie atimize ndoto zake.
 
Dogo mi ntakutumia kama unanitapeli poa.anways ur story seems to be true
 
mbona dogo ka disappear baada ya zile shutuma maana mwanzoni alikua anajibu kila post.

watu wa aina hii ndio baadae wanasababisha tuwe waoga kuwasaidia wenye matatizo kweli kweli
 
Usikate tamaa dogo jipe moyo maadam tu wewe unapenda, mimi pia nlisoma kwa kuunga unga hadi sasa ni kiongozi mkubwa serekalini, weka namba ya head of that center then ntamcontact kwa maswali flan kama ada ni bei gan na kadhalika.
 
mbona dogo ka disappear baada ya zile shutuma maana mwanzoni alikua anajibu kila post.

watu wa aina hii ndio baadae wanasababisha tuwe waoga kuwasaidia wenye matatizo kweli kweli

Atakua ni huyo huyo tapeli huyu


If your not right...go left,,
 
Huyu mwandishi yuko well informed. ..ana ufaham mkubwa wa mitandao ...inatia mashaka kwa mtu wa kidato cha pili....
Pia uandishi wake umenyooka mno kwa kijana aliyeishia kidato cha pili....

Nampa benefit of doubt bado.....athibitishe alichoandika.....shule aliyofukuzwa....nani alikua mkuu wa shule? This we can verify
 
Mbaga unakumbuka tukio uliofanya mwaka jana,pale mwanza.Badilika mdogo wangu huo ujanja ulishapitwa na wakati.



Kafanya tukio gani mbona amekanusha?
Weka wazi tuelewe
Otherwise usipende kudhalilisha watu wenye shida haya maisha tu na shida haina mwenyewe........ivyo vi shilingi vyako vya madafu visikupe kibri kudhalilisha wengine!!!!!
 
Mkuu fuata utaratibu mzuri ili tupate uhakika kama ni kweli,watu wa kukusaidia tupo wengi
 
Nimejaribu kugoogle hilo jina n m sorry to say that nashawishika kabisa kuamini kuwa this is a scam. Mnaotaka kutuma fedha jipeni subira kidogo. Kama hautakua utapeli muhusika unisamehe. Ila nimekutana na stori inayoendana na hii lakini iko twisted kidogo.
 
Nimejaribu kugoogle hilo jina n m sorry to say that nashawishika kabisa kuamini kuwa this is a scam. Mnaotaka kutuma fedha jipeni subira kidogo. Kama hautakua utapeli muhusika unisamehe. Ila nimekutana na stori inayoendana na hii lakini iko twisted kidogo.

Hebu tuwekee hiyo link ama tu-direct na sisi tupate kufahamu.
 
jamani kama ni kumchangia tumchangie akitapeli tukumbuke kila lenye mwanzo lina mwisho pia.
 
Tafadhari Mbaga Michael rudi jukwaani ili uje kukanusha hizi tuhuma dhidi yako, ukimya wako unasababisha wanajf wawe na mashaka na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Kuna dogo mmoja alikuja hapa n tatizo na kuomba msaada somebody Chililo watu walimchalange na kumshutumu kuwa tapeki lakini baadaye ilikuja julikana kweli anashida na wala si tapeli tukachanga.
So tuwe na subara na tuaipende kuwa wepesi wa kuhukumu cha msingi tujiridhishe kwanza then tujue tunafanyaje.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom