Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
ILA mimi nina kinyongo na baadhi ya watu hapa JF mwanzoni nilijua sote ni ndugu ndo mna huwa hata kama mtu una tatizo unakuja hapa unashauriwa na hatimaye unasolve tatizo
HILI JAMBO lililomkuta DOGO na wengine kuanza kuandika yao si mageni na yalinikuta binasfi na nilijuta kama itatokea siku yoyote nikwame sehemu iwe safarini au kibinadamu nije kuelezea hapa eti watasaidia wapo wenye mioyo yao lakini kuna viatu pia.IMAGIN umejielezea sana na upo katikati ya shida unaomba msaada mtu anaanza kukujudge mwandiko kwa nini kwenye r umeweka l utakuwa mwongo wewe.....AISEEEE! This if Jf of now DAYS! FULL OF WONDERS AND HEARTLESS PEOPLE!
HILI JAMBO lililomkuta DOGO na wengine kuanza kuandika yao si mageni na yalinikuta binasfi na nilijuta kama itatokea siku yoyote nikwame sehemu iwe safarini au kibinadamu nije kuelezea hapa eti watasaidia wapo wenye mioyo yao lakini kuna viatu pia.IMAGIN umejielezea sana na upo katikati ya shida unaomba msaada mtu anaanza kukujudge mwandiko kwa nini kwenye r umeweka l utakuwa mwongo wewe.....AISEEEE! This if Jf of now DAYS! FULL OF WONDERS AND HEARTLESS PEOPLE!