Mkasa wa kweli: Kisiwa cha harishi

Mkasa wa kweli: Kisiwa cha harishi

Hahaha kwanini mlumbane, hadithi hii imeishia hapo, uki google utaipata huko imeandikwa hivyo hivyo na ikaishia hapo hapo. Msione aendelei, ndio imeisha anakoitoa, mumshukuru kwa moyo wa ku share nasi.
Kweli mkuu nimeiona google imeishia hapo na iliwekwa tangu 2017 Facebook
 
Ha
Wewe jamaa kwani haujamjulia harishi shuaitwain???
Muda wankutupia stori ni baada ya saa ngapi.....Kuna kijisehemu nilicheka lkn inauma....jamaa mazembe Sana....unaogopa mvua kuliko harishi..etu tungeloa
hahahahaaaa
 
Kweli mkuu nimeiona google imeishia hapo na iliwekwa tangu 2017 Facebook
Hahahaha aisee kweli bhana nimeenda kuichungulia google,blogs kadhaa wameitupia na kweli mtunzi FAKI kaishia hiyo sehemu ya 31.

Kwa wale wote waliokua wanasubiri story wakalime tu sababu FAKI hana mpango wa kuiendeleza ndio kwanza kaachia nyingine.

Be crazy, Be Weird, Be whatever coz life is too short to be anything but HAPPY.
 
Mpangilio wa visa na matukio tokea awali ulionyesha hadithi kuisha pasipo msimuliaji kuhitimisha simulizi yake.
 
Back
Top Bottom