Head prefect
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 225
- 108
Kama muvi vile....
Ngumu kumesa anyway.
Hata mm imenikaba mkuu,,,,
Kama muvi vile....
Ngumu kumesa anyway.
Wewe una gari na unatembea sehemu kama hizo usiku huna bastora!! hata sime?
Mambo ya kutishiana kwangu no. Na nnapiga picha kama ingekuwa ni mimi angekiona cha moto. Huyo alikuwa ni polisi sio jambazi kwani ingekuwa jambazi angekuomba leseni kwa kazi gani? tena anashika na kukurudishia!! hao ni vijana wa mangu hawana kipya.
DUI huyo alikuwa tapeli tuu askari mwenye maadili na miiko ya kazi hawezi Fanya hivyo
Mod post kama hivi za zakutunga na kuchafua jeshi letu.It's the usual complaint system does good, system is abused.
ujifunze kung fu sasa!
Mod post kama hivi za zakutunga na kuchafua jeshi letu.It's the usual complaint system does good, system is abused.
Mod post kama hivi za zakutunga na kuchafua jeshi letu.It's the usual complaint system does good, system is abused.
Mod post kama hivi za zakutunga na kuchafua jeshi letu.It's the usual complaint system does good, system is abused.
Polisi wetu na uzembe wetu!
Polisi anapofika hasa mda usio wa kazi na hana uniform ni lazima ajitambulishe na atoe ID ndipo afanye kaZi yake. Hapo kwa vile wengine tuna uoga basi nao wanachukulia huo upenyo na kutubabaisha. Ungemuuliza hizo detail, ndipo afanye yake.
Polisi wanatumia sana ujinga wetu kutunyanyasa 'vile tu ana cheo cha upolisi' wakati ni kazi ka kaZi zingine tu. Pole sana, pia ukute hiyo pisto ilikuwa toy tu, kwa sbabu polisi hawezi fanya huo upuuzi wa kuload ammo kwa ajili ya leseni. Next time jua haki zako kabla ya arrest
Kung fu zinageuza risasi kuwa mapesa?
nakushauri kukaa kimya ukisubiri yakutokee na wewe ndio uamini.
Sasa hapa ukilaza wangu ni nini? Humu Jf kuna vitu vingi vingine vya kweli ama vya kutunga. Wajibu wa memba ni kufanya uwezalo, ushauri ama kusaidia. Sasa wewe unaposema mimi kilaza kwa kushauri fake story hunitendei haki.
Mod post kama hivi za zakutunga na kuchafua jeshi letu.It's the usual complaint system does good, system is abused.
Una support invalid topic mimi na wajua polisi wa coco hakuna mwandawazi hata moja atoe bastola
hapo nitamtetea hii haijatungwa kwa pale coco beach ndiyo sehemu yake mambo kama haya yanatokea sana, mi nilipeleka watoto wangu yalinikuta makubwa sana na mpaka nikaambiwa gari ninayotumia ni ya wizi, wakaniweka kiti cha kushoto wakapanda na wenyewe walikuwa watatu, wakaniambia nitoe hela au wanipeleke kituoni, nikawambia twendeni kituoni, nadhani kiswahili changu kiliwaambia hapawatapata mtaji na mimi nikakomaa twende kituoni, kituoni sifikishwi nazidi kuombwa hela, mwishoe wakashuka eti ooh utakufa unajifanya mjana hapa bongo. sikujibu kitu nikaondoka. nikapachukia sana coco. hivi huyu jamaa kafanyiwa kweli. polee mkuu