Gumilapua
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 935
- 733
Polisi wetu na uzembe wetu!
Polisi anapofika hasa mda usio wa kazi na hana uniform ni lazima ajitambulishe na atoe ID ndipo afanye kaZi yake. Hapo kwa vile wengine tuna uoga basi nao wanachukulia huo upenyo na kutubabaisha. Ungemuuliza hizo detail, ndipo afanye yake.
Polisi wanatumia sana ujinga wetu kutunyanyasa 'vile tu ana cheo cha upolisi' wakati ni kazi ka kaZi zingine tu. Pole sana, pia ukute hiyo pisto ilikuwa toy tu, kwa sbabu polisi hawezi fanya huo upuuzi wa kuload ammo kwa ajili ya leseni. Next time jua haki zako kabla ya arrest
hahahahahaaaaaa! Uko serious mkuu au waongelea nadharia tu, ni polisi wa Tanzania hao ubishane nao? Anaweza hata akakutandika risasi na asifanywe chochote!
Hivi aliemuua David Mwangosi amechukuliwa hatua gani? Na mkuu wake aliekuwepo hata katika eneo la tukio si ameishia kupandishwa cheo!
Ni kweli hizo ni haki za raia lakini hapa kwetu hazifuatwi na ukijifanya kujua wanakupoteza tu hawa watu!! Kwanza wengi wao hawana akili kabisa.