Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

Kumbe Jeipiem alikuwa chaguo la Muumba!
Sasa kwanini zoezi la uchaguzi mkuu lilifanyika kama tayari alikuwa ameisha chaguliwa? Tungeachia basi 'moshi' mweupe upae juuuu, mawinguni badala ya kufanya voting; labda tulikuwa tukifanya formalities tu za uchaguzi, you never know!
..Labda muumba anayetumia Herufi ndogo..
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
Majizi na mafisadi ni yale yanayotaka kuhujumu kazi za CAG na yasiyotaka hata kukaguliwa jinsi yanavyotumia fedha za umma.
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
CAG alikagua pesa ya wananchi au supuka au za chato republic? na je ni nani alilamika?je report ilijadiriwa bungeni?
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
😅😅😅😅😅mlimponza mshamba wa chatttto
 
Back
Top Bottom