Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

Upo finyu kweli kweli..
Nani alikuambia mimi mwanasiasa?

Nimeandika imekuchoma nasema na bado.. mtaisoma namba hadi meno yote yawaishie[emoji88][emoji382][emoji382][emoji382]
Brother kuna mambo mengi ya kufanya usikomae na usiyoendana nayo.
 
Cocochanel akiandika lazima nitrendi.. mfano uzi huu.. mimi penda kuburudika humu sana

Nimewachoma na hayo maneno na bado[emoji382][emoji382][emoji382] mtaendelea kupokea kama kawaida. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1437][emoji1437][emoji1437][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1437][emoji1437][emoji1437]
U trend au unaonekana kituko tu! Humu jf

Ova
 
Tumemwendea sana, tena In humble way, but he can't listen,
Ukimwendea kama Ulivyopanga ataanza kukuwekea visasi,

Nawasilisha
Ukitaka kumwendea uwe msafi kweli
Yaani hata ukitumia taulo jeupe halichafuki

Ova
 
Acha uongo mkuu, Membe safari yake iliishia kwenye tano bora, wala jina lake halikukatwa kama alivyokatwa Lwaigwan bali kura ndo zilipelea akawa out na wakabaki wagombea watatu tu sasa unaposema Membe alikuwa ni chaguo la wengi sijui umetumia kigezo kipi!

I stand with Dr J. P. Magufuli.
I also stand with Dr JPM
Sijui watanzania tunataka nini, kwakweli najiuliza sana maswali,
Tukifanyiwa hivi, ohooo uyu mbaya afai bora MTU wa aina fulani, hamjui kwamba Mungu anasikia maombi, basis Mungu akimleta, utasikia tens ahoooooo uyo siyo, tulimtaka nani.....?
Pumbavu.........pambana na hali zenu
 
Nasimama na Magufuli
FB_IMG_1563463989844.jpeg
 
I also stand with Dr JPM
Sijui watanzania tunataka nini, kwakweli najiuliza sana maswali,
Tukifanyiwa hivi, ohooo uyu mbaya afai bora MTU wa aina fulani, hamjui kwamba Mungu anasikia maombi, basis Mungu akimleta, utasikia tens ahoooooo uyo siyo, tulimtaka nani.....?
Pumbavu.........pambana na hali zenu
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hata akiwa likizo hajiamini.. anatembea na wakuu wa vyombo vya ulinzi lika aendako
Ili awaulize kuko salama? Maana wakiwa mbali anahisi labda wanakutana na wabaya wake sasa ndo kama hivyo kusema ishu fulani naijua ishu fulani naijua ni nouma sana
 
I also stand with Dr JPM
Sijui watanzania tunataka nini, kwakweli najiuliza sana maswali,
Tukifanyiwa hivi, ohooo uyu mbaya afai bora MTU wa aina fulani, hamjui kwamba Mungu anasikia maombi, basis Mungu akimleta, utasikia tens ahoooooo uyo siyo, tulimtaka nani.....?
Pumbavu.........pambana na hali zenu
Tukifanyiwa vipi? Tunataka turudi tulikotoka kazi na bata na uchumi unaopaa sasa saizi kuna nini kipya hakikufanyika?
 
dah !
tuliitwa wanywa viroba na wapumbavu kwa ajili ya huyo BLACK SADIST..
wakadhani kumfadhili yeye ni kuwakomoa wapinzani..
let them enjoy...
 
Back
Top Bottom