Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

Mkapa nakushauri achana na Bwana huyo

POLEN SANA , MKAPA NA KIKWETE NDIO WALIOMUWEKA KWENYE KITI . JAPOKUWA CHAPUO LA WENGI LILIKUWA MEMBE .
Acha uongo mkuu, Membe safari yake iliishia kwenye tano bora, wala jina lake halikukatwa kama alivyokatwa Lwaigwan bali kura ndo zilipelea akawa out na wakabaki wagombea watatu tu sasa unaposema Membe alikuwa ni chaguo la wengi sijui umetumia kigezo kipi!

I stand with Dr J. P. Magufuli.
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
Sasa we unaongea nn? Huko lumumba ndy kna kiwanda cha walafi ndomana kutwa mnatoana ngeu tu!

Ova
 
POLEN SANA , MKAPA NA KIKWETE NDIO WALIOMUWEKA KWENYE KITI . JAPOKUWA CHAPUO LA WENGI LILIKUWA MEMBE .
Chaguo la wengi wala hakuwa Membe mkuu usitake kutudanganya sisi watu wazima! Chaguo la wengi lilikuwa Lowassa, hata Maja analifahamu hilo, hata Jennie analijua hilo! Ngoja awabatize kwa moto maana waliyataka wenyewe!
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
Coco nani asiye mwizi na fisadi ?! Labda wale waliotuletea kivuko cha 1978 kikageuzwa kifaru cha kijeshi [emoji23][emoji1787] ?!
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
Kaimbe taarabu na khadija kopa. Politics is not for everyone
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee
Labda mungu wa chato
 
Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee

Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM

Hapa kazi tu ndio mwendo

Na bado

Magufuli oyeeeeee


umeshakula?
 
Back
Top Bottom