Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,239
Kumbe Jeipiem alikuwa chaguo la Muumba!Walafi wavivu mafisadi wapenda kutafuna pesa za wananchi ndio mnalalamika.. lalamikeni hadi na meno yawang'oke.. na namba bado hamjazisoma.. na moto moto hamjauona.. mnatia kichefuchefu wote na hao woteeeee
Halafu mnafikiri wananchi watawapa nchi.. oyoooo hata mkichinja walio na damu zenu.. mtagonga mwamba tu.. chaguo la Mwenyezi Mungu ni JPM
Hapa kazi tu ndio mwendo
Na bado
Magufuli oyeeeeee
Sasa kwanini zoezi la uchaguzi mkuu lilifanyika kama tayari alikuwa ameisha chaguliwa? Tungeachia basi 'moshi' mweupe upae juuuu, mawinguni badala ya kufanya voting; labda tulikuwa tukifanya formalities tu za uchaguzi, you never know!