MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.

Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.

Utakaotikisika ni ufisadi wao
 
Labda dunia ya Nchingani, dunia ni sisi, asituletee mambo ya kale na ya uoga
 
Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.

Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.

Inanikumbusha ile kauli ya Prof. Muhongo kuwa nchi itatikisika kama akijiuzulu. Cha kushangaza, alijiuzulu na hata sisimizi mmoja kule Serengeti National Park hakufa. Na yeye yuko Musoma vijijini akipiga kampeni arudi bungeni. Kama ni kutikisika acha itikisike tu lakini ukweli unabaki palepale......This time around watanzania hawakubali zile hadithi za Burundi, Rwanda, Libya, na "Saddam alikuwa wa Kuwait". MABADILIKO HAYAEPUKIKI.
 
Limkapa lilofa na lipumbavu likubwa, linavyobwabwaja utadhani linapiga kura 10 za veto. Pumbafu kabisa hili.
 
Ukimsikiliza sana huyu mzee utajua tu kuwa ni mpangaji wa paleee ...Milembe hotel!😀😀
 
Amakweli mfamaji haishi kutapatapa, hv mbona hawajamaa wanaangaika iv?? Duh! Polen ccm MUNGU alitoa na MUNGU atatwaa chake, ndo mwisho wa enzi
 
Lofa kabisa hili! WAKUU KURA ISIVUKE BOX,HAPA NI UKAWA TU KWA HESHIMA YA MAKAIDI,MTOI etc.
 
Kila chenye mwanzo kina mwisho. MUNGU pekee ndio hana mwanzo wala mwisho, YEYE NI ALPHA NA OMEGA, ALIYEKUWEPO NA ATAKAYEKUWEPO, NIKO AMBAYE NIKO. Kila kitu duniani kitatikiswa kasoro MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI PEKEE.

Utawala wa Rumi ulianguka, Utawala wa babeli chini ya mfalme aliyejifananisha na MUNGU ulianguka, USSR nayo ilianguka. Atakayedumu ni MUNGU pekee kila kitu kitapita mathayo 24:35, Luka 21:33, Marko 13:31.
 
Nadhani kuna uhusiano kati ya ukubwa wa mwili na udogo wa akili.
 
Labda atikisike yeye na familia yake ya kifisadi..
 
Mkapa ana mimba tayari, sijui mume ni nani? Hebu angalia mfuko [aka tumbo] wake, na miguu yake myembamba [not propotional] ambayo husapoti kwa seedah mwili wake. Kwa kauli zake hizo, huenda keshaanza kupata uchungu, ... ataenda tu leba tarehe 25 oktoba.
 
Back
Top Bottom