Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.
Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
Utakaotikisika ni ufisadi wao