Hayo ni maneno ya Raisi Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.
Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
Ni yeye atatikisika... atawekwa jela kwa ufisadi wa kujiuzia mgodi wa makaa!
Itatikisika kwa maana hii: Tanzania itakuwa inakwenda kufanya mabadiliko makubwa. Maliasili zitakuwa mwisho kwenda nje bure, tutatumia uranium yetu kuzalisha umeme halo lazima dunia itikisike. Tutafuta mikataba ya hovyo ya china, India nk. Marais waliopita watajibu tuhuma zao. Pesa zilizofichwa nje zitawekwa wazi. No lazima dunia itikisike
Vyama vikongwe na vyenye historia kubwa vimeanguka sembuse ccm,kweli mzee uyu kazeeka vibaya
Hayo ni maneno ya Raisi Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.
Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
Inaanguka Republican na Marekani bado inadunda itakuwa sisiem; hizo ni fikra mgando wala sioni kama kuna tisho lolote hapo yeye katoa uoni wake kama yeyeVyama vikongwe na vyenye historia kubwa vimeanguka sembuse ccm,kweli mzee uyu kazeeka vibaya
KANU ilanguka hata East Africa haikutikisika kabisaaa!!
East africa kote huko?Mombasa tu haikutikisika,mkapa asema migodi aliyojimilikisha itatikiswa
Alikufa papa Dunia haikutikisika
Alikufa Mandela Dunia haikutikisika
Alikufa Gadafu
Alikufa Sadamu Hussein
j
Dunia itatikisika siku akifa Malaika mtoa Roho israeli.
Hayo ni maneno ya Raisi Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.
Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.