MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

Leo viwanja vya furahisha ni majanga. Ccm wapo wanahaha maana kuujaza uwanja ule si mchezo
 
Yeye anaona anawaeleza hayo marofa na wapumbavu , kwamba watameza kama ilivyo.

Watulie tu tuwaonyeshe urofa wetu.
 
Osama bin Laden alikufa, dunia iko vile vile...!!!

Nadhani anamaanisha CCM ikianguka MKAPA ATATIKISIKA na KUFA kwa presha...!!!

Yeye Mkapa ndio atapigwa na stroke mara moja, na ATATIKISIKA...!!!

CCM lazima ife..!!! Mkapa kaona CCM iko ICU... hakutegemea anayoona..!! Si ndio mtambo wa matusi, katukana sana watanzania.. sasa tunawaadhibu..

CCM out...!!!
 
Hata Muhongo alisema akitoka nchi itatkisika. Mbona tuko poa tu?
 
Alikufa papa Dunia haikutikisika
Alikufa Mandela Dunia haikutikisika
Alikufa Gadafa
Alikufa Sadamu Hussein

Dunia itatikisika siku akifa Malaika mtoa Roho israeli.

hata akifa yeye, itasikitika ccm na RIZ Moja tu, tanzania na dunia nzima mambo yatakuwa shwari tu
 
Hivi mkapa ana watoto?hivi ashawai kulipa ada,garama za malezi kama afya,mavazi nk?mungu anatuonyesha mkapa ni mtu wa aina gani na miaka yote tulichaguliwa viongozi ovyo kabisa,
 
Kumbe hii ndiyo inayomsumbua na wenzake mpaka wanatoa maneno ya kushangaza! Ukweli ni kuwa dunia itaona Tanzania imekomaa katika demokrasia kwa kukiondoa chama dola. Yeye anachotakiwa ni kuheshimi tu chaguo la wananvhi na siyo kuogopa dunia kutikisika!
 
Mh.MKAPA Watanzania Wanataka Dunia ITIKISIKE labda CCM INA hofu ya Viongozi wake kwa Mali za Nchi hii walizoziiba
 
Na kwani waliokuwa wanamsikiliza pengne wanahitaji elimu ya bure ya lowasa
 
Huyu naye bingwa wa lugha chafu anashangaza sana! Dunia itikisike kwa lipi wakati huko duniani; watu wanashangaa kwa nini watanzania wamelala doro kiasi hicho!? Chama kina madudu lukuki; Wizi, ufisadi, ujangili; kusigina katiba na haki za binadamu na serikali dhaifu kuliko mlenda na bado eti watanzania wanakichagua!!
Actually; dunia itatikisika kama CCM ikirudi madarakani mwaka huu, sio vinginevyo!



Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.

Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
 
Wazazi wenzangu tulio na watoto katka shule za sekondari za Nsumba, Bwiru NK kesho tukutane kujadili kitendo cha ccm kuchukua watoto wetu na kuwapeleka uwanja wa furahisha Leo. Ikiwezekana. Tutaazimia kuwashitaki wakuu wa shule hizo kwa kutotimiza wajibu wao ikiwamo kutowalinda watoto na kuwakosesha masomo.
 
Back
Top Bottom