MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

MKAPA: "Dunia itatikisika CCM ikianguka"

Na wacha itikisike tu, maana hakuna namna nyingine.
Na Mimi nasema itikisike tu!
 
Ni kweli lazima itikisike kwa sababu vibaraka wao (Fisiem) waliozoea kuuza rasilimali za nchi kwa manufaa ya familia zao watakua hawana chao tena
 
Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.

Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.

Hakitikisiki kitu.
Tumia kichinjio kwa busara baasi
 
Uchaguz wa mwaka huu ukiisha salama tumshukuru muumba coz madudu ya NEC+vitisho na matus ya wanaccm n waz aman itakua zro
 
Waingereza waliiachia Tanganyika mwaka 1961, Dunia haikutikisika. Sembuse Dunia itikisike leo kwa CCM kuachia dola?!!!!!! Mzee ameishiwa hoja sannnnna!
 
Ccm ni chama bora afrika,lowassa anajua,sumaye anajua,kingunge anajua,magufuli 4 change anakuja,tarehe 25,oct,anaipaisha ccm katika level ya dunia
 
kweli lazima itikisike maana mikataba mibovu yote lazima tuitoe....
Wachina wenye maduka kariakooo lazima warudi china mapema

umemalizia vibaya kuhusu wachina,...jiepushe na dhambi ya ubaguzi, ni mbaya usiombe
 
Kwa kauli hii mkapa kama kashakiri kuwa ccm inaenda kudondoka,wao ndo naona watatikisika lakini sisi malofa tushangalia maana tanzania mpya inaenda kuzaliwa
 
Pamoja na vile vimilioni mia TISA alivyopiga fasta alipoingia madarakani. Lazima atikisike.
 
...ccm kwake ndo dunia,waliondoka democratic party ya marekani dunia haikustuka ije kuwa hao mburumundu, wakae kushoto kuleeee...!!!
 
Kwa sababu jenyewe halina watoto wala wajukuu ndio maana.
 
Wazazi wenzangu tulio na watoto katka shule za sekondari za Nsumba, Bwiru NK kesho tukutane kujadili kitendo cha ccm kuchukua watoto wetu na kuwapeleka uwanja wa furahisha Leo. Ikiwezekana. Tutaazimia kuwashitaki wakuu wa shule hizo kwa kutotimiza wajibu wao ikiwamo kutowalinda watoto na kuwakosesha masomo.

Naunga mkono hoja. Mkuu sema wapi na saa ngapi niweze kutinga mazima!
 
Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.

Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
Kwakuwa wameuza nchi kwa wachina kweli dunia itayumba
 
Kwanza achaneni nae amekua anatutukana ovyo mara wapumbavu mara wajinga basi katusababishia yeye
 
Back
Top Bottom