Julius Malema Jr
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 653
- 155
Tupa kule
Hayo ni maneno ya Rais Mstaafu Bwana mkapa alipokuwa Tanga kwenye kampeni za chama tawala.
Lakini kauli hii bado inazua maswali mengi, kwamba hiyo dunia itatikisika vipi kwa kuanguka kwa CCM?.
Kuna harufu fulani hapa.
Aisee una IQ ipi. Hivi unajua maana ya dunia kutikisika? Yaani hukuona dunia nzima ilivyokuwa ikifuatilia matukio hayo. Kama ndo uelewa huo basi kizazi hili ni shida. Uwezo wa kuchangia nuances mambo ni mdogo.Alikufa papa Dunia haikutikisika
Alikufa Mandela Dunia haikutikisika
Alikufa Gadafa
Alikufa Sadamu Hussein
Dunia itatikisika siku akifa Malaika mtoa Roho israeli.
Aisee una IQ ipi. Hivi unajua maana ya dunia kutikisika? Yaani hukuona dunia nzima ilivyokuwa ikifuatilia matukio hayo. Kama ndo uelewa huo basi kizazi hili ni shida. Uwezo wa kuchangia nuances mambo ni mdogo.