Mkapa awaliza wanakijiji Lushoto

Kwenye milima ya usambara kuna shamba la hekta 3000? Wasambaa wasinge hamishiwa mombo na handeni?
 
Kuna mengi ambayo vyama vya upinzani vinatakiwa kujifunza katika siasa za Tanzania. Kama mimi ningekuwa ni kiongozi wa CHADEMA katika mkutano huo, ningejua tayari wananchi wameshanipiga changa la macho. Wameifanyia CHADEMA ulaghai mtupu.

Wananchi hao wameuza maeneo yao na sasa eti wanadai Mkapa anawanyonya. Wakati wanamuuzia walifikiri nini? Walidhani alikuja kuwagawia pesa halafu awaachie mashamba yao? Watanzania wa wapi wako hivyo? Au wanajidai kwa kuwa wamepata platform ya kuongelea? Kikao kikiisha wanarudi kuomba kibarua kwa yule yule waliekuwa wakimsema kuwa anawanyonya.

Kwa kweli inasikitisha sana. Uongo mwingi, unafiki mwingi na ushabiki wakijinga kwa sana. Kwa mtazamo wangu, wanakijiji hao wameilaghai CHADEMA.

Vyama vya siasa viache kupoteza muda na viongozi wasioshindana nao. Watapoteza umaarufu, nafasi adimu na muda wao bure tu. Sasa ukishamuumbua Mkapa kwenye mkutano wa Kampeni ya Sangara (ambayo kwangu ni maandalizi ya kupata support ya wananchi) inakusaidia nini kama chama? Maana Mkapa hahitaji tena mamlaka, na wala hana ruhusa ya kuhitaji mamlaka ya nchi. Kama amekosea, ndio imetoka hiyo, labda majuto ndio mjukuu. Hakuna kitakachobadilika.
 
This is almost nonsensical propaganda.
The author should get his facts correct before putting pen to paper.
3000 Hectares in Lushoto?
Come on give me a break!!
I dont see that area in Lushoto, Mombo probably yes.

Halafu kijijini, mtu analipwa kiasi gani-kibarua to be exact.
The author should find comparable rates from other areas.
Ama sivyo kwa tunaoelewa rates hii inaonekana upuuzi mtupu.
Na nasema hivyo si kwa ajili ya kusapoti Mkapa , la hasha, ila makala hii imejaa propaganda zaidi kuliko facts.
Mkuu siunajua humu JF mtu anaonekana ameongea point mpaka aikosoe serikali sasa saa nyingine mpaka chumvi zinazidi then utaona watu wanamgongea sanks kibaaao.we jaribu kuchunguza utajua tu...chuki, uongo na majungu ndo watu wanafurahia.ukijaribu kunyoosha mstari unakua kama enemy of the people vile.
 
na Asha Bani, Lushoto

Alisema maeneo ambayo yanahodhiwa na rais huyo mstaafu ni zaidi ya lile alilojenga nyumba kubwa ya kifahari ambako anaishi baada ya kustaafu.


Katika pichaattached , sioni jumba kubwa la kifahari, sana sana an ordinary cottage!!!!!!
 

Attachments

  • CIMG0057.JPG
    CIMG0057.JPG
    415 KB · Views: 106
Wabongo bwana, yaani tumesahau yote aliyofanya Mkapa kwa nchi yetu. barabara zote alizojenga, Dar - Mwanza sasa hivi ni safari ya masaa tu ukilinganisha na siku za nyuma ambapo tulikuwa tunakwenda kwa siku mbili. uwanja wa taifa, madaraja, alivyoinua uchumi nchi yetu ikaanza kupata heshima kimataifa, tumesahau kwamba aliikuta nchi ikiwa imekwisha kabisa.
Tumesahau kazi ngumu aliyoifanya ya kulipa madeni aliyokopa Mwinyi na kuirudisha nchi kwenye mstari, tumesahau pia kazi ngumu aliyoifanya mkapa ya kurudisha heshima ya mfanyakazi ambaye wakati wa mwinyi alipoteza kabisa thamani, tumesahau alivyofuta kodi ya kichwa, alivyofuta ada za shule ili kuwezesha wengi waende shule na mengine mengi ambayo hatuwezi kuyahesabu. Leo tunamdhihaki na kumnyanyasa namna hii. Kwakweli binadamu hatuna wema jamani. Muacheni mzee wa watu apumzike. kaifanyia makubwa nchi yetu. hata kama aliiba, alichokifanya pia kinaonekana. Hawa wapinzani wanapewa ruzuku kila siku, hatujawasikia hata wamesaidia kusomesha watoto yatima. Waende zao huko bwana. Mwacheni Mkapa wetu.
Upuuzi mtupu!
Kwani ni nini wajibu wa Rais awapo madarakani? aliomba kazi hiyo kwa kusema atasimamia hayo yote ili kuleta maendeleo na watu wakampa ajira hiyo ambayo hadi leo bado inawagharibu kwa vile analipwa pension na marupurupu mengine maisha yake yote.
Wakati anaomba kazi hiyo angesema kuwa nitafanya mazuri yote kisha nitawaibia mgodi wa kiwira na ardhi nk. ni mjinga gani angempa hiyo ajira? Hivyo mtu kutimiza wajibu wake katika baadhi ya maeneo sio tiketi ya kuficha ufisadi wake. FISADI NI FISADI TU
 
Mimi sioni tatizo kwani kama alikuta ardhi ikiwa tupu akaendeleza is not a problem, tatizo ni kama angewanyanganya watu ardhi yao. Vilevile ardhi Lushoto hatoshi then let people move to other parts of Tanzania where there is abandunt ardhi isiyo na wenyewe badala ya kulalamiki vitu vidogo kama hivyo. There is important issues to discuss na sio hector 3000 za Che Nkapa
 
Mahakama ipi? Hizi mahakama za Kikwete zinazosema "muacheni mzee apumzike"? Au wameanzisha mpya?
Oooh poor Tanzania what's wrong with you? Nchi ni nzuri lakini kutokana na viongozi kufanya dhambi nyingi nchi ni kama imelaaniwa vile! Tutafika kweli?
 
Wabongo bwana, yaani tumesahau yote aliyofanya Mkapa kwa nchi yetu. barabara zote alizojenga, Dar - Mwanza sasa hivi ni safari ya masaa tu ukilinganisha na siku za nyuma ambapo tulikuwa tunakwenda kwa siku mbili. uwanja wa taifa, madaraja, alivyoinua uchumi nchi yetu ikaanza kupata heshima kimataifa, tumesahau kwamba aliikuta nchi ikiwa imekwisha kabisa.
Tumesahau kazi ngumu aliyoifanya ya kulipa madeni aliyokopa Mwinyi na kuirudisha nchi kwenye mstari, tumesahau pia kazi ngumu aliyoifanya mkapa ya kurudisha heshima ya mfanyakazi ambaye wakati wa mwinyi alipoteza kabisa thamani, tumesahau alivyofuta kodi ya kichwa, alivyofuta ada za shule ili kuwezesha wengi waende shule na mengine mengi ambayo hatuwezi kuyahesabu. Leo tunamdhihaki na kumnyanyasa namna hii. Kwakweli binadamu hatuna wema jamani. Muacheni mzee wa watu apumzike. kaifanyia makubwa nchi yetu. hata kama aliiba, alichokifanya pia kinaonekana. Hawa wapinzani wanapewa ruzuku kila siku, hatujawasikia hata wamesaidia kusomesha watoto yatima. Waende zao huko bwana. Mwacheni Mkapa wetu.

Hiyo haiharalishi yeye kumiliki ardhi kubwa na kuwanyonya waTZ wenzake.
 
Mkapa ajaribu kuwaelewa watanzania wanamuonaje au wanamfikiriaje ili aweze kutafuta amani nao.Hataweza kupata rafiki wa kweli popote pale kama watanzania ambao ni marafiki zake wataendelea kulalamika hivi kuwa hakuwatendea haki wakati wa utawala wake.Yes, kuna mambo aliyowasaliti watanzania. Kiburi si maungwana!!
 
This is almost nonsensical propaganda.
The author should get his facts correct before putting pen to paper.
3000 Hectares in Lushoto?
Come on give me a break!!
I dont see that area in Lushoto, Mombo probably yes.

Halafu kijijini, mtu analipwa kiasi gani-kibarua to be exact.
The author should find comparable rates from other areas.
Ama sivyo kwa tunaoelewa rates hii inaonekana upuuzi mtupu.
Na nasema hivyo si kwa ajili ya kusapoti Mkapa , la hasha, ila makala hii imejaa propaganda zaidi kuliko facts.

Huyu bro ni mwandishi wa matukio sio mchambuzi. Habari kama hizo unazipata kwenye magazeti kama Raiamwema nakadhalika
 
Wabongo bwana, yaani tumesahau yote aliyofanya Mkapa kwa nchi yetu. barabara zote alizojenga, Dar - Mwanza sasa hivi ni safari ya masaa tu ukilinganisha na siku za nyuma ambapo tulikuwa tunakwenda kwa siku mbili. uwanja wa taifa, madaraja, alivyoinua uchumi nchi yetu ikaanza kupata heshima kimataifa, tumesahau kwamba aliikuta nchi ikiwa imekwisha kabisa.
Tumesahau kazi ngumu aliyoifanya ya kulipa madeni aliyokopa Mwinyi na kuirudisha nchi kwenye mstari, tumesahau pia kazi ngumu aliyoifanya mkapa ya kurudisha heshima ya mfanyakazi ambaye wakati wa mwinyi alipoteza kabisa thamani, tumesahau alivyofuta kodi ya kichwa, alivyofuta ada za shule ili kuwezesha wengi waende shule na mengine mengi ambayo hatuwezi kuyahesabu. Leo tunamdhihaki na kumnyanyasa namna hii. Kwakweli binadamu hatuna wema jamani. Muacheni mzee wa watu apumzike. kaifanyia makubwa nchi yetu. hata kama aliiba, alichokifanya pia kinaonekana. Hawa wapinzani wanapewa ruzuku kila siku, hatujawasikia hata wamesaidia kusomesha watoto yatima. Waende zao huko bwana. Mwacheni Mkapa wetu.
Huyu jamaa akili zake bwana kama Vangi kweli . Yaani mtu akiwa kazini analipwa mshahara kwa kazi aliyo omba mwenyewe leo anaia tunasema tuone mazuri machache na kuacha uovu mkubwa ? ama kweli wewe ni vangi haya kama sijui maana yake .
 
Mina shauri hao wanakijiji wajichangishe watafute wakili wampeleke mkapa mahakamani!


Wakili gani man? Tundu Lissu ama?
Lakini kumbuka kuwa mahakama ni za sisiemu na si za Watanzania kama zinavyostahili kuwa.
 
Yote tisa,kumi ni hili la Mkapa kudai haifai kuyapa maadili ya uongozi kipaumbele licha ya kwamba mojawapo ya masharti aliyoyataja kama mbadala wa hayo ya Azimio la Arusha ni uongozi bora,ni kivipi utakuwa na uongozi bora bila maadili ya uongozi?Hilo nadhani Ben mwenyewe anaweza jibu.

Serayajimbo said:
Kwa sasa vipo vikwazo vingi na sababu nyingi zinazochangia maliasili isiwe chanzo kikubwa cha maendeleo ya uchumi wetu; kwa mfano Azimio la Arusha limekuwa likijadili juu ya maendeleo kupitia ujamaa, kwa bahati mbaya katika maudhui ya azimio hilo, maadili ya uongozi ndiyo yamepewa kipaumbele,” alisema Mkapa.
Alisema ili kufikia malengo ni lazima kutimiza masharti manne ambayo yatagusa watu, ardhi, sera nzuri na uongozi bora ambapo kwa upande wa watu ni lazima wawe na elimu bora
 
Wabongo bwana, yaani tumesahau yote aliyofanya Mkapa kwa nchi yetu. barabara zote alizojenga, Dar - Mwanza sasa hivi ni safari ya masaa tu ukilinganisha na siku za nyuma ambapo tulikuwa tunakwenda kwa siku mbili. uwanja wa taifa, madaraja, alivyoinua uchumi nchi yetu ikaanza kupata heshima kimataifa, tumesahau kwamba aliikuta nchi ikiwa imekwisha kabisa.
Tumesahau kazi ngumu aliyoifanya ya kulipa madeni aliyokopa Mwinyi na kuirudisha nchi kwenye mstari, tumesahau pia kazi ngumu aliyoifanya mkapa ya kurudisha heshima ya mfanyakazi ambaye wakati wa mwinyi alipoteza kabisa thamani, tumesahau alivyofuta kodi ya kichwa, alivyofuta ada za shule ili kuwezesha wengi waende shule na mengine mengi ambayo hatuwezi kuyahesabu. Leo tunamdhihaki na kumnyanyasa namna hii. Kwakweli binadamu hatuna wema jamani. Muacheni mzee wa watu apumzike. kaifanyia makubwa nchi yetu. hata kama aliiba, alichokifanya pia kinaonekana. Hawa wapinzani wanapewa ruzuku kila siku, hatujawasikia hata wamesaidia kusomesha watoto yatima. Waende zao huko bwana. Mwacheni Mkapa wetu.
Hayo mazuri aliyoyafanya yalikuwa ni hisani au wajibu wake? Kwa kukusaidia ilikuwa ni wajibu wake kuyafanya hayo na zaidi ya hayo...We gave him privileges ambazo huwa zina responsibilities. Tulimpa urais ili ayatekeleze hayo. Sasa akitenda kinyume na wajibu tuliompa ni lazima awajibike. Hizo ndio principles za uongozi mkuu...!
 
Huyu bro ni mwandishi wa matukio sio mchambuzi. Habari kama hizo unazipata kwenye magazeti kama Raiamwema nakadhalika
Raia Mwema ni gazeti la uchambuzi mkuu, unaongea nini? Au huwa unaogopa kulisoma?
 
Vangi,
Ni kweli tumesahau. Lakini nakuhakikishia hatutasahau jinsi alivyoanzisha biashara akiwa Ikulu. Hatutasahau jinsi alivyouza NBC kwa bei chee kwa Makaburu kwa kupewa kitita cha hongo. Hatutasahau jinsi alivyojimegea mgodi wa Kawira. Hatutasahau jinsi alivyoingiza kampuni ya ndugu zake kwa mabavu ya Ikulu kutusimamia TANESCO. Hatutasahau jinsi alivyojinunulia dege la fahari kwa hela zilizojaa rushwa. Hatutasahau jinsi alivyotuwekea mazingira ya kumpata Kikwete kuwa rais wetu mpya. Hatutasahau, na ukitaka ninaweza kuendelea tena na tena........

Jasusi,
Hatutasahau jinsi alivyomunyanyasa na kumdhalilisha Mwalimu aliyembeba mgongoni kumnadi kwa wananchi wakubali awe Rais wao. Baada ya kuupata urais akaota mapembe na kudiriki kutamka kwamba "Mwalimu angelifufuka aone jinsi ubepari unavyojenga nchi!" Yanayomkuta ni laana!
 
Back
Top Bottom