MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Kichuguu.
Bob Makani unasema hakupewa kwa vile hakuwa na digrii ya uchumi. mbona Mtei alipewa akiwa na Literature? wakati Makani ana sheria ambayo kidogo inafanana.
Baada ya Nyirabu alikuja Rutihinda kuwa gavana, huyo alikuwa na Political Science na International Relations.
Nadhani Makani hakupewa kwa dini yake lazima tukubali Mwalimu alivyokuwa Mdini.
Back 2 Warioba kuwa alikuwa na Qualification ndio akapewa uwaziri mkuu,na Jaji Chande ana Qualification zaidi ya Warioba au Augustino Ramadhani.sasa unataka tuamini kuwa Qualification ni kigezo, wakati jana ulisema kuwa SENIORITY ndio kigezo. mkuu sikuelewi kabisa!Chande ana exposure kubwa sana ambayo hana Warioba wala Jaji mkuu mpya.
Nakurudisha UDSM nyumbani kwako. wakati anatafutwa Dean wa Faculty ya Commerce and Management- Assad Mussa akamshinda vibaya Chijoriga kwa qualification na Seniority, akapita kwenye interviews zote. lilipofika File kwa Luhanga-VC wenu akampa bibi Chijoriga kwa madai ya Gender. hili limelieleza sana kwenye Mada ya Mzumbe VS UDSM nenda kwenye elimu utaona.
U-TURN ya Luhanga kuwa ni Gender imetoka wapi? mtu akija na Qualfication kama Chande unasema unataka Seniority. ikija Seniority kama DR.Assad unasema GENDER ISSUE and Globalization.
Warioba alipewa uwaziri mkuu kwa upendeleo kigezo cha elimu hakihusu kwa cheo cha uwaziri mkuu. ndio maana unaona Sumaye alipewa madaraka hayo huku akiwa hana elimu. baada ya kumaliza Uwaziri mkuu ndio amekwenda kusomea Management skills, wakati alitakiwa awe na Knowledge hiyo kabla ili apply kwenye uwaziri mkuu wake.
Na kwa taarifa yenu Course work na Dissertation amefanyiwa na vijana wa kikenya.
Nawaomba WaTanzania tusibaguane wote wapewe vyeo. kama balance ya Muungano inatazamwa why not ya Dini?
Huwezi kuwatetea waislam hadi uwe muislam? kwa hiyo mtazamo wako asiye kuwepo na lake halipo? tuwe tunajadili issue hata kama hatuzipendi ila zina maslahi ya Taifa. nilipopost mada hii niliomba tuchangie kuona weakness zetu. sasa nimebatizwa kuwa ni Talaban.kwa taarifa tu mimi ni Sabato.
Nungwi
Kuna kitu kingine kwenye sheria lazima Upractice zikae kichwani, ndugu yetu Chande alikwenda Nje ya Nchi, so utakuta ktk kipindi hicho atakuwa amepitwa na mabadiliko ya Sheria kadha wa kadha za Bongo, so alivyo pewa Ujaji wa Mahakama Kuu Mbeya alipewa ili apate nafasi ya kuzipitia na kuzitumia kwa kutoa hukumu, sasa hata tutakapo mpa huo Ujaji Mkuu atakuwa in a better position ya kuwa reference aidha kwa hukumu atakazo kuwa ametoa au hata ktk mazungumzo na wenzake. na hata yeye mwenyewe sio mjinga alivyo kata huo uteuzi un, na kuamua kubaki bongo, tena mbeya, maana wengine wangependa kuwa Dari salamu au Arusha au Mza..
Huyo Assad wa UDSM sio lazima tumpe hapo , tunaweza kumpa U commisssioner TRA, Capital Markets etc , kama sasa hivi ni one of the board member NSSf.So Nungwi vitu vingine tusiharakishe. Ndio Maana hata Kikwete Tulimpa Foreign Affairs for ten years ili apate exposure zaidi na kuondo tamaa ndogo ndogo za masurufu na safari za nje. Atleast alipokuwa Foreign Affairs alikuwa anapata wasaa wa kupanda Tube train, kupita mitaa amayo ukiwa Raisi huwezi kupita.
sasa just imagine angechaguliwa Uraisi wakati ule halafu anataka kuingia Casino au kupanda underground itakuwaje na msafara wa Protocol Officers wake?
Kichuguu.
Bob Makani unasema hakupewa kwa vile hakuwa na digrii ya uchumi. mbona Mtei alipewa akiwa na Literature? wakati Makani ana sheria ambayo kidogo inafanana.
Baada ya Nyirabu alikuja Rutihinda kuwa gavana, huyo alikuwa na Political Science na International Relations.
Nadhani Makani hakupewa kwa dini yake lazima tukubali Mwalimu alivyokuwa Mdini.
Utahitaji kufanya kazi ya ziada kunielewa kama unasoma ukiwa na majibu tayari kichwani mwako.Back 2 Warioba kuwa alikuwa na Qualification ndio akapewa uwaziri mkuu,na Jaji Chande ana Qualification zaidi ya Warioba au Augustino Ramadhani.sasa unataka tuamini kuwa Qualification ni kigezo, wakati jana ulisema kuwa SENIORITY ndio kigezo. mkuu sikuelewi kabisa!Chande ana exposure kubwa sana ambayo hana Warioba wala Jaji mkuu mpya.
Nakurudisha UDSM nyumbani kwako. wakati anatafutwa Dean wa Faculty ya Commerce and Management- Assad Mussa akamshinda vibaya Chijoriga kwa qualification na Seniority, akapita kwenye interviews zote. lilipofika File kwa Luhanga-VC wenu akampa bibi Chijoriga kwa madai ya Gender. hili limelieleza sana kwenye Mada ya Mzumbe VS UDSM nenda kwenye elimu utaona.
U-TURN ya Luhanga kuwa ni Gender imetoka wapi? mtu akija na Qualfication kama Chande unasema unataka Seniority. ikija Seniority kama DR.Assad unasema GENDER ISSUE and Globalization.
Warioba alipewa uwaziri mkuu kwa upendeleo kigezo cha elimu hakihusu kwa cheo cha uwaziri mkuu. ndio maana unaona Sumaye alipewa madaraka hayo huku akiwa hana elimu. baada ya kumaliza Uwaziri mkuu ndio amekwenda kusomea Management skills, wakati alitakiwa awe na Knowledge hiyo kabla ili apply kwenye uwaziri mkuu wake.
Wewe Nungwi kweli kweli; Kwa vile Mzumbe kila mtu anaweza kupata Ph.D kwa wiki moja mnachukulia kuwa kila chuo kinafanya hivyo; yaani watu wengine wasifanye kazi zao wakalie kufanya coursework na dissertation ya mtu mwingine. Hizi siyo dissertation za Mzumbe kuwa utaiandika siku mbili tu, ni kazi inayoweza kufanyika kuanzia miezi minne na kuendelea kulingana na digrii yenyewe. Je wasamalia wema hao wa kikenya walikwenda kumfanyia defense pia?Na kwa taarifa yenu Course work na Dissertation amefanyiwa na vijana wa kikenya.
Nawaomba WaTanzania tusibaguane wote wapewe vyeo. kama balance ya Muungano inatazamwa why not ya Dini?
seniority kwenye ngazi ya judiciary ni jambo la muhimu sana...pale referal court the most senior supreme judges ambao wangekuwa eligble kuwa cj ni big.gen [retired] augustino ramandani,judge mrosso,judge lubuva,judge eusebio munuo na jaji kiongozi manento...majaji wa rufaa na mahakama kuu wamepangwa kwa namba kutokana na seniority[mfano ramandani alikuwa akijulikana kama JR 1..namba mbili baada ya JM....na kuendelea.hadu JR 11..namba zao hupanda kadiri wanavyositaafu au vinginevyo...kwa kuzingatia seniority protocal ya kujoin supreme court au high court..
kule kwenye bench la mahakama kuu kuna dadi J 50...sasa nimeangalia cv ya judge othman inalipa...huyu jaji mkuu bada ya kama miaka minne atakuwa amefikia retirement at any cost kwani hadi sasa amebakisha miaka miwili ya kustaafu kwa lazima na yupo eligible kwa extention ya two years contract..sasa kama muungwana akitaka kumpa othman ujaji mkuu ..itabidi ampe ujaji kiongozi ndani ya hii miaka miwili[since any judge kwenye bench anaweza kuchaguliwa kuwa jaji kiongozi na jaji mkuu]...then ampe ujaji wa supreme [since jaji mkuu anaweza kutoka kwenye bench la supreme au jaji kiongozi....so kwa kuwa bado ni kujana he is still a material and let us give him minimum of another five years ..if we want to think of him as CHIEF JUSTICE..although hata kuwa jaji peke yake ni heshima kubwa sana.
HATA jeshini mkuu wa majeshi lazima achaguliwe kutoka kwenye rank ya brig general kuendelea although mara nyingi au zote hutoka kati ya kundi la ma MAJ GENERALS...hii ni kwa sababu nchi hii ina system nzuri na ina amani so ni vigumu rais kukosa imani na senior officers ambao wako eligble kwa uteuzi akakosa hata mmoja wa kumwamini hadi aanze kutafuta makanali wakuwapandisha kuwarusha ngazi nne kama wanavyoweza kufanya marais wa nchi zisizokuwa stable..
upande wa polisi naona mara nyingi makamishana wa makao makuu wamerukwa sana kwenye uteuzi..mara zote maris wame prefer ma RPC...KUANZIA mzee mwinyi alimrusha ngazi HAROUN MAHUNDI kutoka RPC ARUSHA hadi IGP..Akafuatia mzee mkapa akamrusha OMAR MAHITA kutoka RPC arusha hadi IGP....NA KUWAACHA makamishna wa makao makuu wanashangaa..MUUNGWANA kamrusha SAID MWEMA ambaye alikuwa RPC mbeya [then seconded to interpal ] kuwa IGP na kusababisha kizaazaa kwa kuingia na makamishana wapya kabisa even tibaigana was not commissioner before...
seniority...
Mtalii,
Kwanza nakuomba usome vizuri maelezo yangu na kutafakari nini hasa lengo la maandishi yangu!
1. Ahmadia wapo miaka mingi na hata hao wenye dini za ajabu lakini hawakuweza huru kutoa mahubiri yao kama hivi leo. Hata usenge ulikuwepo, kamari zilikuwepo na hata baadhi ya miradi nchini iliyosimamiwa na Wayahudi.
Nitaongezea kusema kwamba pamoja na kwamba Tanzania ilikuwa nchi ya Kijamaa lakini walikuwepo wenye biashara binafsi waliokuwa wakisafirisha mali zao nje, kulikuwepo na shule za private, maduka ya private, kampuni private na kadhalika lakini tunasema alofungua milango ni Mwinyi!...
2. Nimesema kwa sura mbili na wewe unaweza kuchukua yoyote ile kwa mtazamo wako lakini haiwezi kupotosha ukweli zaidi ya kuwa for ama against!.. Na huo mfano wa Uingereza ndio hasa tofauti kubwa kati yao na sisi. Wao wanaelewa kwamba dini sio kigezo cha Uongozi na wala dini sio culture inayoweza kutafsiri utendaji kazi wa mtu serikalini. Pamoja na yote hayo sheria zao bado zimesimamia kulinda maslahi na culture zao kiasi kwamba wewe mgeni ndiye unayetakiwa kufuata masiha yao na sio mwenyeji kuiga maisha ya mgeni.
Hii ni tofauti kubwa sana kati yetu na wao, Hata siku moja hutamwambia Muingereza kuanzisha lugha ya Kifaransa kuwa sheria pamoja na kwamba zipo shule za Kifaransa Uingereza.
Sijui nisema nini zaidi upate kunielewa lakini nachojaribu kusema hapa ni kwamba mambo mengi machafu hutokana na uzembe wa kiongozi ktk kulinda maslahi na tamaduni za nchi husika. Mwinyi alikuwa kipofu ktk hayo kama alivyokuwa Mkapa kipofu wakati wa Majambazi!..hii haina maana wakati wa Mwinyi hapakuwepo na majambazi!
Jaji Othman Chande amekaa nje ya nchi muda mrefu sana. Zaidi hajawahi kuwa Jaji ktk Mahakama zetu. Kutegemea kwamba angeteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Rufaa ni sawa na kuota ndoto. Hata kama JK angekuwa anataka kusaidia Waislamu sidhani kama angeweza kufanya kitu out of the ordinary kama hicho.
Kuna sensa au utafiti upi unaoonyesha idadi ya Watanzania kwa dini zao?
Mkuu Kichuguu.
Vipi kuhusu APIYO ambaye alikuwa katibu mkuu ofisi ya Rais kipindi cha Mwalimu Nyerere nasikia nae ni ndugu yake Mwalimu. vipi kuna ukweli?