Siku zote nasikia swala la Wakristo na Waaslam katika nafasi serikalini. Hapa kinachoangaliwa ni viongozi wenye majina ya Kiislamu au majina ya Kikristo lakini sio Waislam wala Wakristo. Wengi wangekuwa wana hizo dini basi maovu yote ya ufisadi n.k yasingelitokea. Tuwaulize Masheikh, Waislam ni watu wa namna gani??? Wenye majina ya Kiislamu ni wengi kuliko Waislam.!!!!!!!!!
Ni kweli waislam tuko nyuma lakini tafuta sababu za kweli za Waislamu kuwa nyuma na wala si propaganda zilizoandikwa. Historia ya nchi imepotoshwa makusudi, sisi ndio wavaa viatu na ndio tuaoyajua maumivu yake. Usiamshe yaliyolala! Rejea kitabu " Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.