Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Professor Mtulia kuwa waziri ni sawa.DR.Kawambwa hazuii kwa vile wanatoa mkoa wa Pwani. mbona kuna wilaya ina mawaziri wawili, nayo ni RUNGWE -Mbeya.wilaya hii imetoa waziri Mwakyusa na Mwakyembe kama ajabu ianzie huko.
Kwanza Mwakyembe si Naibu Waziri
Lakini pamoja na kuwapo na hizo hisia za udini kutoka pande zote, bado JF tuna mambo mengi na muhimu ya kujadili kwa maslahi ya taifa na tusianze kuumiza vichwa kwa sababu ya uteuzi wa JK ama Mkapa.. Hapa JF mjadala huu hautatusaidia.. Tuendelee kuwasaidia hawa viongozi wetu kwa kuwakosa kwa nguvu zetu zote, wawe Waislamu ama Wakristu ama Wapagani kama Kingunge
Kuna Musialamu mmoja aliniambia, "Unajua Mkapa alipougua na kulazwa Uswisi watu walimwambia kwamba hiyo ni laana ya damu iliyomwagika Pemba mwaka 2001. Alidhani watoto wa wenzake wanatembea na vilema huku yeye anatesa, ngoja na yeye atembee na fimbo.." mtu huyo huyo akaja kuniambia tena, "unaona Mkapa kagundua laana sasa anaombewa dua na Waislamu na wamemwambia ni lazima atoe sadaka kusafisha aliyowafanyia Waislamu maana aliwaua Mwembechai na baadaye Pemba japo nafasi yake ilikua ikikaimiwa na marehemu Dr Omar, ambaye ni Mpemba lakini alitoa maelekezo huko huko alipokua na ndio maana ameamua kuwasaidia Waislamu kwa kuwapa Chuo Kikuu cha Morogoro.."
M