nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
siku zote adui namba moja wa maendeleo ya mtanzania atabaki kuwa ni mtanzania.....hili halina mjadala.....watanzania ndio walioifikisha TZ hapa ilipo.....ubinafsi,ulafi,uvivu, kujuana, na wizi wa mtanzania ndio umetufikisha hapa tulipo......Ubinafsishaji per se wala si shida......shida ni watu gani watanzania waliokuwa wanapewa hivyo viwanda/mashirika???........wengi walipewa kwa kujuana/kishkaji/kusaidiana.....na wengi wao pia hawakuwa na capacity ya ku manage walichobinafsishwa.....matokeo yake ndipo tulipo leo......Pia mikataba ya ubinafsishaji iliandaliwa na hawa hawa watanzania...na loopholes zooote za kifisadi zilifanywa na hawahawa watanzania.......itabaki kuwa pale pale kuwa anaeifilisi TZ ni mtanzania mwenyewe...period.....Hata mikataba feki wanayopewa wageni inaandaliwa na hawahawa watanzania.......wakulaumiwa kwenye kuiua TZ ni watanzania wenyewe...tena wasomi....very very sad indeed.......matatizo gani ya leo yametokana na mkapa?
ebu eleza kuhusu reli ya kati...wahindi wako wapi?
tulikuwa na uwezo wa kutafuta mwekezaji mzuri na reli ingekuwa ina operate vizuri tu, wakaleta wahuni wahuni fulani hivi ambao waliingia ubia na watanzania ambao ni viongozi. leo wamefilisika
njoo ATCL
sababu ya mkapa na ambayo itabaki kuwa kweli ni kuwa
1. hatuna mitaji!!! fedha hamna ......somebondy prove Mkapa is wrong , sio kwa sababu kasema shivji basi ni sawa
2. Pili watanzania hawa ni wezi, waongo, wabinafsi,mafisadi, wankula mali za umma, nenda JKN aiport wafanyakazi karibu wote wana magari na wanapaki...huku shirika la nedege halina ndege hata moja!!! wanapata wapi mishahara??
hivi solution ya haya mashirika sio ubinafsishaji kweli??
kama ndivyo mtu aseme nini kifanyike
sera za ubainsafsishaji ni nzuri tena sana kwa nature yetu tulivyo...sasa kama kuna kasoro is something else kujadili hizo kasoro
HUWEZI UKASEMA DHANA NZIMA YA UBINAFSISHAJI NI FAILURE..huku hatuna alternative solutions
nchi hii leo hii inaendeshwa na yale yale aliyoyaacha mkapa, sasa for nearly 10 yrs anasema hakuna kiwanda kipya cha serikali, au ndio ATCL na TRC tunahesbabia, where is TTCL? si tulisema tunaweza kuendeleza? japo management yake ni wazungu leo hii haina mtaji wa kutodha kushindana
Tujiulize viwanda vilikufa kipindi gani? leo hii tukisema mashirika yarudishwe serikalini tunaweza kuyaendesha?? what a joke! tusijifanye kama hatuwajui watanzania...Mkapa alitujua vyema