BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,693
- 17,257
Habari za majukumu wana jukwaa?
Nimekuwa nikijiuliza hili swali. Ikiwa ugonjwa wa kisukari ni matokeo ya organ ya kongosho kushindwa kuzalisha kimeng'enya cha insulin cha kutosha kwenda ku balance kiwango cha sukari kwenye damu.
Je, haiwezekani muathirika wa hili tatizo akafanyiwa upasuaji ikaondolewa hii kongosho iliyoshindwa kazi yake akawekewa nyingine nzima na tatizo likawa limetibika kwa namna hiyo?
Nimekuwa nikijiuliza hili swali. Ikiwa ugonjwa wa kisukari ni matokeo ya organ ya kongosho kushindwa kuzalisha kimeng'enya cha insulin cha kutosha kwenda ku balance kiwango cha sukari kwenye damu.
Je, haiwezekani muathirika wa hili tatizo akafanyiwa upasuaji ikaondolewa hii kongosho iliyoshindwa kazi yake akawekewa nyingine nzima na tatizo likawa limetibika kwa namna hiyo?