Mkapa aipa kolabo Wizara ya Magufuli

Mkapa aipa kolabo Wizara ya Magufuli

Qualcomm

Senior Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
177
Reaction score
138
attachment.php

RAIS Mstaafu Benjamini Mkapa amekuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Bodi ya Wakandarasi unaofanyika tarehe 14 Mei 2015. Mwenyeji wake akiwa Dr.John Magufuli , ikumbukwe Mkapa ndiye aliyezianzisha Bodi hizo na Magufuli akazisimamia vilivyo. Makandarasi na Wahandisi wamekiri kuwahi kualikwa Ikulu na Mkapa wengi ikwa mara yao ya kwanza kufika Ikulu.


image.jpg


 

Attachments

  • mkapa.png
    mkapa.png
    71.7 KB · Views: 3,917
Duuuhh, bora wakandarasi wamefikiri nje ya boksi maana kwa nchi hii kila "event" hualikwa Rais.
 
Kiongozi ajari ni ajri tu hata mwezi juzi waziri mmoja Afrika ya Kusini alifariki kwa ajari, je ni miundombinu ilisababisha? swala la ajari ni la mtambuka, kila mtu anatakiwa kushiriki kudhibiti ajali.

Mkuu, Huwezi kuthibiti ajali unapotengeneza barabara zenye mashimo ya mifereji katikati au pembeni mwa barabara bila kuacha nafasi kubwa. Hapo hapo hamna taa za kusaidia kuziepuka usiku.

Huu ndiyo uhandisi uliotumia "safety factors"?

Nina uhakika kuwa ramani za hizi barabara haziwezi kupitishwa katika nchi zinazojali usalama wa wananchi barabarani.

Nina uhakika pia, kama Polisi wa barabarani wanaweka rekodi, utakuta magari mengi yanatumbukia katika mashimo kuliko katika barabara zilizojengwa bila ya hayo mashimo.
 
Mkuu, Huwezi kuthibiti ajali unapotengeneza barabara zenye mashimo ya mifereji katikati au pembeni mwa barabara bila kuacha nafasi kubwa. Hapo hapo hamna taa za kusaidia kuziepuka usiku.

Huu ndiyo uhandisi uliotumia "safety factors"?

Nina uhakika kuwa ramani za hizi barabara haziwezi kupitishwa katika nchi zinazojali usalama wa wananchi barabarani.

Nina uhakika pia, kama Polisi wa barabarani wanaweka rekodi, utakuta magari mengi yanatumbukia katika mashimo kuliko katika barabara zilizojengwa bila ya hayo mashimo.

Ndugu hivi umeisoma vizuri road geometry manual tunayotumia? Kama huna nijubu nikupe pia angalia uwiano wa urban roads na trunk & regional roads!
 
vipi walijadili pia kuhusu nyumba za umma walizogawana kama njugu?
maana nikifikiria combination ya mkapa na magufuli naziona nyumba zetu zikigawanwa kana njugu.
 
vipi walijadili pia kuhusu nyumba za umma walizogawana kama njugu?
maana nikifikiria combination ya mkapa na magufuli naziona nyumba zetu zikigawanwa kana njugu.

Kuhusu nyumba sikusikia lakini najua serikali ilishatolea maelezo. Watakuja wenye majibu watujuze!
 
Laana kubwa atakayoipata Magufuli ni hii ya uuzwaji wa nyumba za serikali.. Masaki sasa magorofa yanajengwa kama kariakoo..master plan imevurugwa from the day walipoanza kuuziana nyumba za serikali
 
vipi walijadili pia kuhusu nyumba za umma walizogawana kama njugu?
maana nikifikiria combination ya mkapa na magufuli naziona nyumba zetu zikigawanwa kana njugu.

Kwani ninyi mlitaka magofu yale yamelikiwe na akina nani kama si Senior Citizen wa nchi hii?
kwanini TBA inashindwa kwenda na planned speed ya ku establish Makazi mapya ya Utumishi wa Umma?

Kama kila tenure ingelezalisha nyumba na kuwauzia watumishi wapya sidhani kama leo tungalikuwa na tunakumbuka nyumba za Muingereza za Osterbay.
 
Ndugu hivi umeisoma vizuri road geometry manual tunayotumia? Kama huna nijubu nikupe pia angalia uwiano wa urban roads na trunk & regional roads!

Hamna road geometry manual wala upuuzi wowote utakayonishawishi barabara hizi ni salama.

Nimefanya kazi na kusafiri nchi nyingi sana duniani, sijakurupuka.

Najua naongelea nini, ila una haki ya kuamini upendavyo.
Kama hii barabara kwako ni nzuri na ya usalama, hongera sana wasomi wetu.


View attachment 251802

View attachment 251803
 
vipi walijadili pia kuhusu nyumba za umma walizogawana kama njugu?
maana nikifikiria combination ya mkapa na magufuli naziona nyumba zetu zikigawanwa kana njugu.

Abunuasi mpaka leo hujui kuwa yale yalikuwa ni maamuzi ya baraza la mawaziri..eti abunuasi
 
Hamna road geometry manual wala upuuzi wowote utakayonishawishi barabara hizi ni salama.

Nimefanya kazi na kusafiri nchi nyingi sana duniani, sijakurupuka.

Najua naongelea nini, ila una haki ya kuamini upendavyo.
Kama hii barabara kwako ni nzuri na ya usalama, hongera sana wasomi wetu.


View attachment 251802

View attachment 251803

Wewe unashawishiwa na nini? Kubahatika kwenda Uganda na Kenya ndo unaona umesafiri sana?
 
Wewe unashawishiwa na nini? Kubahatika kwenda Uganda na Kenya ndo unaona umesafiri sana?

Tatizo lako ni elimu duni. Ubongo umejaa nazi.

Badala ya kupanga hoja, unaropoka kama mlevi wa gongo!

Jipange tena, Mofo!
 
Wewe ni juha.

Kuja na ID tofauti haufichi ujuha wako.

Punk Ass MoFo!

Tatizo lako ni elimu duni. Ubongo umejaa nazi.

Badala ya kupanga hoja, unaropoka kama mlevi wa gongo!

Jipange tena, Mofo!

Bilashaka wewe utakuwa mtoto wa high-school..Eti "Punk Ass" "Mofo"...umenikumbusha mbali sana..btw..matusiyako MAZITOO na yanauma **crying**
 
Bilashaka wewe utakuwa mtoto wa high-school..Eti "Punk Ass" "Mofo"...umenikumbusha mbali sana..btw..matusiyako MAZITOO na yanauma **crying**


Njoo na majibu ya kihuni kama mlevi wa gongo, nakupa za uso.

Utanifahamu tu bila ya kubahatisha!

Keep talking, someday you'll say something intelligent!
 
Njoo na majibu ya kihuni kama mlevi wa gongo, nakupa za uso.

Utanifahamu tu bila ya kubahatisha!

Keep talking, someday you'll say something intelligent!

Mimi nimekukimbia!
 
Back
Top Bottom