Kwa hiyo ina maana nchi hii imeomba mpaka waingereza wanataka wa i CAMEROUN BONGO!
Hilo halina mjadala kwani zile suti 5 na gharama za hoteli alizolipa mwarabu kule London zilikuwa BURE?
Kwa hiyo ina maana nchi hii imeomba mpaka waingereza wanataka wa i CAMEROUN BONGO!
Si tu kumpa lawama bali anatakiwa kujiuzuluNi aibu taifa kuwa omba omba. Hatuna sab
abu ya kuwa omba omba wakati tuna rasilimali lukuki. Matatizo haya yote yanaletwa na uongozi mbovu wa kitaifa. Ni aibu kutetea uovu kwa kivuli cha udini. Kama tunalika taifa hili lazima tubadilike, tuache tabia ya kubebana na kuoneana aibu. Kikwete anahaki ya kubebeshwa lawama zote za matatizo haya.
we uwe unakaa kimya kwani baba yako alipokuwa waziri mkuu si alifanya hayo hayo..hebu tupishe hapa
Mkapa ni hopeless. Amesahau uhuni alioufanya ikulu. Kufanya biashara akiwa ikulu yeye na mke wake. Akae kimya asitukumbushe uhuni alioufanya yeye na Mramba.
Mkapa ni hopeless. Amesahau uhuni alioufanya ikulu. Kufanya biashara akiwa ikulu yeye na mke wake. Akae kimya asitukumbushe uhuni alioufanya yeye na Mramba.
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.
Tatizo nasisi watanzania ni wajinga sana,waliosoma na wasio soma yaleyale,tutaishia kulalamika na kuandika humu kwenye jukwaa lakini hakuna kinatakachofanyika,maana kinachofanyika ndani ya hii nchi ni sawa na kwamba watu wako usingizini,hawaelewi,hawajui wala hawatajua.Tunaomba kitu gani na mwisho mpaka tunahesabiwa kiwango na kuonekana wametuchoka,kipi ambacho TZ hatuna mpaka tuwe waombaji maarufu?na kwa nini tumegeuka matonya wa kiwango hiki?Tukisema tukatae kwa nguvu ya umma watu watasema chadema hao je kule Misri ilikuwa ni kwa msukumo wa chama cha upinzani?au hiyo ndio ilionekana ni njia pekee ya kuunganisha nguvu za wananchi na kudai haki au mabadiliko?kila kukicha watu wanadhoofishana kwa kusema eti haki haiombwi kwa maandamano ni kwa majadiliano,unategemea kupata muafaka gani kwa majadiliano na CCM?acha tuwe ombaomba lakini tutakapokuja kukataa huenda kukawa dhahabu zimeisha au almasi hakuna,na ndio maana kwa kuwa watoa hela nao wamechoka sasa wanakuja na mashariti ya ushoga.Tutafakari
Kumzungumzia Huyu mswahili wa Msoga ni kupoteza muda tu, kwani udhaifu wake wa kiuongozi hata wale malaya wauza uchi pale Jolly club wanaujuwa. nchi ni kama haina Rais.
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.
Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.
Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.
Chanzo: ITV NEWS
Mkuu hapo umeongea, mkapa hawezi kukimbia dhambi yake!Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.
Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.
Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.
Chanzo: ITV NEWS