Mkapa ainanga serikali ya Kikwete

Hayo ni matarajio yako kwa uoga unaokutawala. Huyu kashindwa kwa yake, hayo ya ajaye huo ni utabiri tu. Hii nchi akipatikana mtu mwenye akili haistahili kuombaomba. Tunachotakiwa kufanya ni kumuomba Mungu awafumbue macho nyinyi mnaopigia kura chama kwa mazoea na woga wa vita. Zile NET za mbu ndio zitatuponza tushikishwe ukuta kama hujui

Itakuwa hivyo labda wananchi (tena dunia nzima) mkatae kutumia paper money..

Lakini kama tunaendelea na paper money hakuna kitu mchele utakuwa tsh.6000

mara ya mwisho nakumbuka wakati mkapa walifanya sherehe kwa kufaulu kuomba na kusamehewe, kukopesheka..etc

Sawa bana tutashukuru tukipata kiongozi wa namna hiyo..
 
Raia unajua kuwa Best Friend wa Mkapa, Ruhinda alikuwa Director Vodacom ya Rostam, miaka minne kabla ya uchaguzi unafikiri ilikuwa by accident? Hata huyo Mwandishi hana clue ya kilichotokea tuliokuwepo na kushiriki tunaweza kuweka ukweli asiojua inaonekana yumo kwenye payroll ya Lowassa.
 
Vingozi wetu ni kama mazezeta vile. Wanagawa maliasili zetu kwa mikataba ya kipumbavu wanategemea nchi ipate wapi mapato na kuiwezesha kujitegemea? Wanajinufaisha wao at the expense of the country, then wanakuja kulalama maneno yasiyo na tija bila hata aibu. Upuuzi mtupu.
...That was exactly my point. Kama unajua kwamba nawe ni mzinzi, usimrushie mwenzio mawe. Wapo watakaoshtuka, watakubaini na kukurushia nawe pia.
 
Raia unajua kuwa Best Friend wa Mkapa, Ruhinda alikuwa Director Vodacom ya Rostam, miaka minne kabla ya uchaguzi unafikiri ilikuwa by accident? Hata huyo Mwandishi hana clue ya kilichotokea tuliokuwepo na kushiriki tunaweza kuweka ukweli asiojua inaonekana yumo kwenye payroll ya Lowassa.

mkuu unazungumzia miaka minne kabla ya mkapa ama kikwete? Pia nakushauri uitafute hiyo makala kisha utajua kama yuko kwenye payroll au la. Pia si vibaya ukatuwekea facts ambazo msomaji raia hakufaulu kuzipata kipindi hicho
 
''Edward Lowassa kwa umahiri mkubwa, alikusanya
vijana kutoka nchi nzima na kuwaleta Dodoma ili
kuwatisha wazee kuwa Jakaya Kikwete
asipoteuliwa, CCM ingesambaratika vibaya sana.
Pamoja na jeuri yake na msimamo wake, Rais
Mkapa aliogopa sana pale alipoitwa na wazee aliowakuta Dodoma na kuambiwa kuwa “chaguo
ni Jakaya” vinginevyo Dodoma hapatatosha. Mkapa alinywea na kujikuta anaimba wimbo wa
Jakaya huku Lowassa akiwa anachekelea kwa
kejeli ya hali ya juu. Akiwa ni kamanda wa
mtandao uliomwingiza Kikwete Ikulu, Lowassa
kwa wema na ubaya, aliufahamu udhaifu wa
Kikwete na kuufanya mtaji wa kumhujumu wakati wowote. Alichokifanya wiki iliyopita ni utangulizi
wa makubwa yajayo. Mbinu aliyoitumia Lowassa mwaka 2005 kumtisha
Mkapa ili kumwachia Jakaya aingie bila mikwaruzo,
ndiyo hiyo hiyo aliyoitumia ‘kummaliza’ Kikwete
wiki iliyopita mjini Dodoma. Alikusanya makundi ya
vijana kutoka sehemu mbalimbali na kuwaleta
Dodoma huku akiwachochea kuwa umoja wao unafutwa; aliwakamata wazee kadhaa maarufu
katika chama na kuwafadhili; akawakamata baadhi
ya wenyeviti wa mikoa; akaigawa sekretariati ya
CCM na kisha akawapata Wazanzibari wengi
upande wake.''

Hii hi nukuu toka makala ya msomaji raia gazeti la raia mwema toleo la 214. Mkapa alitumiwa tu na hawa wanamtandao kufanikisha ya kwao

Kwa hiyo unataka kuamini kwamba Mkapa alishitukizwa bila ya yeye kujua in advance? Hakuona "rafu" ambazo zilikuwa zinafanyika wakati wa kusaka wadhamini mikoani? Wakati zoezi la kusaka wadhamini likiendelea Mangula alitoa onyo kwa wagombea wote kwamba kusaka wadhamini haimaanishi kwamba ni kampeni na kama swala hilo litaendelea kujitokeza then mgombea husika ana-risk kukatwa jina. Mgombea pekee aliyekuwa na mbwembwe na msururu wa waandishi wa habari alikuwa ni JK na kila kona aliyokwenda alikuta tayari kuna "jukwaa la kisanii" lililoandaliwa na wana mtandao, misururu ya magari kutoka airport mpaka kwenye ofisi za Chama za mkoa. Hakufanywa chochote na hata wale waliokuwa wanafuatilia nyendo zake walipopeleka report hakufanywa kitu.

Mkapa aliyajua yote hayo mapema sana, and I guess from 2000 wakati wa uteuzi wa Karume walipojitokeza BOYZ II MEN rasmi. Baada ya mwaka 2000 kila kitu kilikuwa wazi na ndipo Mkapa alipokuja kuletewa tuhuma za siasa za makundi ndani ya chama na wala hakufanya chochote akakaa kimya. Kwa kiongozi makini, huwezi kuendesha chama kwa makundi, maana ni rahisi makundi hayo kuhujumiana na hasa ikitokea ameteuliwa mtu ambaye hawamtaki kundi jingine na kundi hilo likawa na nguvu sana. Hicho ndicho kinachoitesa CCM ya leo. Wana mtandao wamepasuka na wana mtandao hao hao ndio wanatesana na kuhujumiana na aliyeyalea yote hayo ni Mkapa kwa sababu ambazo anazijua yeye mwenyewe.
 
mkuu unazungumzia miaka minne kabla ya mkapa ama kikwete? Pia nakushauri uitafute hiyo makala kisha utajua kama yuko kwenye payroll au la. Pia si vibaya ukatuwekea facts ambazo msomaji raia hakufaulu kuzipata kipindi hicho

Je, zile tuhuma ambazo Lowassa amezisema juzi kwenye Mkutano wa NEC [baadhi ya magazeti yaliandika ni za 1997, hiyo sio sahihi, bali ni za 2003 wakati kundi la mtandao lilishaundwa]. Lowassa anasema ni "busara" za Mkapa ndio ambazo zilisaidia kuondoa huo mjadala wa hizo tuhuma. Otherwise, JK was done once and for all. Swali ambalo unatakiwa kujiuliza ni kwamba, je, Mkapa alizifanyia kazi tuhuma hizo? Kama hakuzifanyia kazi, ni kwanini?

Kwa kifupi, hayo maelezo aliyotoa Lowassa juzi kwenye NEC, yanaweza kukupa picha halisi kwamba Mkapa knew a lot about mtandao, nyendo za kundi la mtandao na JK mwenyewe, lakini aliamua kufumbia macho na kukaa kimya. Ndio maana Mangula aliishia kuwa mtoa maonyo tu na chochote kikienda kwa Mwenyekiti hakuna hatua ambayo ilikuwa inachukuliwa. Akina Mwang'onda walipoona mwenendo huo wa Rais/Mwenyekiti wa Chama, nao wakaamua kujiunga na mtandao na ndipo mtandao ulipopata nguvu zaidi maana Usalama wa Taifa walikuwa wanaulinda na kuhakikisha kila kitu kinakwenda vyema.
 
@ Keil Mangula naye alikuwa anavizia Urais na alijua uhusiano wa karibu kati ya Mkapa na Rostam, na alitengeneza mafaili kwa faida yake ikamlipukia na in the end Mtandao waliyachukua yale mafaili. @ Raia hiyo makala ilikuwa na nia ya kumjenga Lowassa ambaye ushiriki wake kwenye operation ulikuwa zaidi kwenye kusaka pesa, hayo aliyoyasema mwandishi yalifanywa na Nchimbi, Kingunge na Kisumo under uongozi wa Sitta.
 
@ny city,
kumbe nchi hii inaongozwa na genge la majangili ambao una imani nao sana. Nilikuwa sijui kwamba unajua lakini unawapenda kwa moyo wako wote.
Pole sana. Hakuna lolote jipya kutoka kwako wala watu wa aina yako.
 
Kwa hiyo unataka kuamini kwamba Mkapa alishitukizwa bila ya yeye kujua in advance? Hakuona "rafu" ambazo zilikuwa zinafanyika wakati wa kusaka wadhamini mikoani? Wakati zoezi la kusaka wadhamini likiendelea Mangula alitoa onyo kwa wagombea wote kwamba kusaka wadhamini haimaanishi kwamba ni kampeni na kama swala hilo litaendelea kujitokeza then mgombea husika ana-risk kukatwa jina. Mgombea pekee aliyekuwa na mbwembwe na msururu wa waandishi wa habari alikuwa ni JK na kila kona aliyokwenda alikuta tayari kuna "jukwaa la kisanii" lililoandaliwa na wana mtandao, misururu ya magari kutoka airport mpaka kwenye ofisi za Chama za mkoa. Hakufanywa chochote na hata wale waliokuwa wanafuatilia nyendo zake walipopeleka report hakufanywa kitu.

Mkapa aliyajua yote hayo mapema sana, and I guess from 2000 wakati wa uteuzi wa Karume walipojitokeza BOYZ II MEN rasmi. Baada ya mwaka 2000 kila kitu kilikuwa wazi na ndipo Mkapa alipokuja kuletewa tuhuma za siasa za makundi ndani ya chama na wala hakufanya chochote akakaa kimya. Kwa kiongozi makini, huwezi kuendesha chama kwa makundi, maana ni rahisi makundi hayo kuhujumiana na hasa ikitokea ameteuliwa mtu ambaye hawamtaki kundi jingine na kundi hilo likawa na nguvu sana. Hicho ndicho kinachoitesa CCM ya leo. Wana mtandao wamepasuka na wana mtandao hao hao ndio wanatesana na kuhujumiana na aliyeyalea yote hayo ni Mkapa kwa sababu ambazo anazijua yeye mwenyewe.

bado tatizo liko palepale. Hata kama alijua bado alizidiwa nguvu na hao wanamtandao. Wewe mwenyewe unasema kuwa kila jk alikokwenda kusaka wadhamini alikutana na red carpet. Ina maana kuwa hawa wanamtandao walikuwa tayari kwa lolote hata kama ni kuigawa ccm. Kwa mazingira kama haya hata baba mwenye nyumba unaweza kugwaya kwa mwanao. Na hili tatizo la wazee hili. Hawa wazee kwenye chama chenu ndio wanaoharibu mtiririko wa mageuzi nchi hii. Pia hili la mkapa kutuliza kesi za jk kwa kisingizio cha kuepusha shari pengine ndizo zinazomtafuna sasa
 
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.

Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.


Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.

Chanzo: ITV NEWS

Na huyu Mkapa na hiyo Foundation yake, pesa wanatoa wapi kama siyo kuombaomba?
 
Serikali ya JK ni zao la MKAPA!
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.

Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.


Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.

Chanzo: ITV NEWS
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.

Lakini hata mzazi humlaumu mwanae ambaye ameshindikana kwa wizi - ikibidi yeye mwenyewe huchukua hatua ya kumpeleka mwanae Polisi.
 
Akizungumza katika mkutano wa Mkapa HIV Foundation, kasema lazima taifa hili lijiheshimu na lirudishe heshima yake kwa kutumia sera yake ya kujitegemea.

Kasema kasoma makala fulani kupitia laptop yake kuwa Tanzania ni ya tatu duniani kwa kuomba ikitanguliwa na Afghanistan na Irak.


Maoni yangu:
Kiukweli hii ni aibu kwa serikali ya 'handsome' boy kuomba hivyo. Hivi Tanzania tangu vita ya nduli hadi leo ndo imetuathiri kiasi hiki? Akina irak tunawasamehe kwa madhila waliyopitia. Tanzania umepitia madhila gani? Hii ni aibu kwa JK.

Chanzo: ITV NEWS

Nona hoja kuu ya Mkapa ni kuhusu sisi kuwa Omba omba, jambo ambalo hata yeye alijitahidi kulipunguza, jambo ambalo ni aibu kwa nchi yenye rasilimali nyingi kama Tanzania..
 
CCM imetengeneza taifa ombaomba ndo maana tunawekewa masharti ya ushoga. Tulikatae hili kwa kuitoa madarakani
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.

ni bora hata husingesubutu kunena haya kwasasa. Iweje ulikaa kimya kama uliona ni maovu.?? Na unaposema sasa unahisi umeokoa nini katika Taifa lenye rasilimali za kipekee lakini la 3 katlka kuomba omba.?
 
''Edward Lowassa kwa umahiri mkubwa, alikusanya
vijana kutoka nchi nzima na kuwaleta Dodoma ili
kuwatisha wazee kuwa Jakaya Kikwete
asipoteuliwa, CCM ingesambaratika vibaya sana.
Pamoja na jeuri yake na msimamo wake, Rais
Mkapa aliogopa sana pale alipoitwa na wazee aliowakuta Dodoma na kuambiwa kuwa “chaguo
ni Jakaya” vinginevyo Dodoma hapatatosha. Mkapa alinywea na kujikuta anaimba wimbo wa
Jakaya huku Lowassa akiwa anachekelea kwa
kejeli ya hali ya juu. Akiwa ni kamanda wa
mtandao uliomwingiza Kikwete Ikulu, Lowassa
kwa wema na ubaya, aliufahamu udhaifu wa
Kikwete na kuufanya mtaji wa kumhujumu wakati wowote. Alichokifanya wiki iliyopita ni utangulizi
wa makubwa yajayo. Mbinu aliyoitumia Lowassa mwaka 2005 kumtisha
Mkapa ili kumwachia Jakaya aingie bila mikwaruzo,
ndiyo hiyo hiyo aliyoitumia ‘kummaliza’ Kikwete
wiki iliyopita mjini Dodoma. Alikusanya makundi ya
vijana kutoka sehemu mbalimbali na kuwaleta
Dodoma huku akiwachochea kuwa umoja wao unafutwa; aliwakamata wazee kadhaa maarufu
katika chama na kuwafadhili; akawakamata baadhi
ya wenyeviti wa mikoa; akaigawa sekretariati ya
CCM na kisha akawapata Wazanzibari wengi
upande wake.''

Hii hi nukuu toka makala ya msomaji raia gazeti la raia mwema toleo la 214. Mkapa alitumiwa tu na hawa wanamtandao kufanikisha ya kwao

Umenifurahisha sana!! Kwa hiyo EL ni nouma, ni fundi wa mafundi wa siasa za bongo. 2015 hapatosha, huyu EL atatuua.
 
Na huyu Mkapa na hiyo Foundation yake, pesa wanatoa wapi kama siyo kuombaomba?

sioni tatizo katika internal fund raising. Juzi hapa tulikuwa na Maajar Foundation na ikachangisha hela. Au unaonaje tukimpa Lowassa cheo cha Chief Fund Raiser?
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.

we uwe unakaa kimya kwani baba yako alipokuwa waziri mkuu si alifanya hayo hayo..hebu tupishe hapa
 
Back
Top Bottom