Mkapa ainanga serikali ya Kikwete

serikali ya sasa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali iliwekwa hapo kwa nguvu ya vikundi. Na Mkapa hakuwa upande wa jk. Muulize lowassa ilikuwaje jk yuko madarakani.
CCM walikuwa na utaratibu wa kikanuni wa kura tatu mtu mmoja, je ni kwa nini Mkapa alivunja kanuni hii na kuamuru kura moja mtu mmoja?

Mkapa huwezi kumuondowa hata kidogo katika watu waliolifikisha hili Taifa hapa lilipo, na ni huyu Mkapa ndio aliuza kitu kwa bei chee, ukiambiwa bei waliouziwa ABSA kuinunuwa NBC unaweza ukalia, huyu Mmakonde wa msumbiji shenzi kabisa, wakati raia wanakonda yeye linanenepeana ikulu kama kiboko, jinga kabisa hili.
 
Swalia la kwanini watanzania ni masikini na tuna kila aina ya raslimali huwa linanikutaga sana kutoka kwa wazungu mimi kama mimi majibu yangu huwa rahisi na mepesi...wizara ya nishati na madini, wizara ya utalii na na wizara ya fedha ndizo wizara/asasi zilizo binafsishwa kwa watawala ndio maana sisi watawaliwa tunakuwa wembamba na watawala wanakuwa wanene... tutaona na kusikia mengi tuu
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.

Mkapa anaweza kuwa na mapungufu mengi tu na hata sera zake zinaweza kuwa na matatizo. Lakini miaka sita ya Kikwete inatoa mwanga kwa watanzania wengi kujua uongozi dhaifu unakuwaje! Mkapa kaingia ikulu mfumko wa bei (inflation) around 29%, miaka kumi baadae wakati anaondoka inflation imeshuka chini ya 5%.

Ndani ya miaka 6 ya Kikwete inflation inakaribia 20%! Sijui itafikia wapi miaka minne ijayo. Leo nimenunua mchele kilo Tshs 2,500/- Angalia bei ya mafuta ya taa, sukari, mkate, mkaa. Hivi ni vitu vinavyogusa maisha ya watanzania wengi kila siku lakini bei ziko juu mno. Na hapo watu waliahidiwa 'maisha bora'.

Kwa ujumla uongozi wa Kikwete umepwaya sana to the extent that watu wangi wanaona ni afadhali Mkapa. Na kwa mambo yanvyozidi kuharibika Mkapa has all the right in the world kusema kwa sababu anajua aliacha nini mezani. Hazina hakuna hata cent, wanakopa kwenye ma-bank, omba omba kila kukicha and still hata mishahara inakuwa tabu!.
 
CCM walikuwa na utaratibu wa kikanuni wa kura tatu mtu mmoja, je ni kwa nini Mkapa alivunja kanuni hii na kuamuru kura moja mtu mmoja?

Mkapa huwezi kumuondowa hata kidogo katika watu waliolifikisha hili Taifa hapa lilipo, na ni huyu Mkapa ndio aliuza kitu kwa bei chee, ukiambiwa bei waliouziwa ABSA kuinunuwa NBC unaweza ukalia, huyu Mmakonde wa msumbiji shenzi kabisa, wakati raia wanakonda yeye linanenepeana ikulu kama kiboko, jinga kabisa hili.


Makosa ya Mkapa hayahalalishi udhaifu wa uongozi mwingine.
Na kuhusu huo mtindo wa kura tatu (CCM) waulize wanamtandao wanajua. Walianza na kumpaka matope Dr Salim wakaishia kubadilisha mfumo. Sasa dhambi ile ile inaendelea kuwatafuna. Mnara wa Babeli!
 
Mkapa anaweza kuwa na mapungufu mengi tu na hata sera zake zinaweza kuwa na matatizo. Lakini miaka sita ya Kikwete inatoa mwanga kwa watanzania wengi kujua uongozi dhaifu unakuwaje! Mkapa kaingia ikulu mfumko wa bei (inflation) around 29%, miaka kumi baadae wakati anaondoka inflation imeshuka chini ya 5%.

Ndani ya miaka 6 ya Kikwete inflation inakaribia 20%! Sijui itafikia wapi miaka minne ijayo. Leo nimenunua mchele kilo Tshs 2,500/- Angalia bei ya mafuta ya taa, sukari, mkate, mkaa. Hivi ni vitu vinavyogusa maisha ya watanzania wengi kila siku lakini bei ziko juu mno. Na hapo watu waliahidiwa 'maisha bora'.

Kwa ujumla uongozi wa Kikwete umepwaya sana to the extent that watu wangi wanaona ni afadhali Mkapa. Na kwa mambo yanvyozidi kuharibika Mkapa has all the right in the world kusema kwa sababu anajua aliacha nini mezani. Hazina hakuna hata cent, wanakopa kwenye ma-bank, omba omba kila kukicha and still hata mishahara inakuwa tabu!.

Atakayekuja baada ya JK...

Wakati huo JK atakuwa nafuu sana utanunua mchele kwa Ts.6000..

Huo ndio uchumi wa pesa (karatasi) unavyokuwa hadi ufe kifo cha mende..

Wait and see
 
serikali ya sasa kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali iliwekwa hapo kwa nguvu ya vikundi. Na Mkapa hakuwa upande wa jk. Muulize lowassa ilikuwaje jk yuko madarakani.

Uliisikiliza kwa makini hotuba ya Mkapa siku ya Mkutano Mkuu wa Kuchagua mgombea wa urais kupitia CCM pale Chimwaga, Dodoma mwaka 2005?

Philip Mangula [Katibu Mkuu aliyemtangulia Makamba] aliandaa dose ya "rafu" za JK kwenye kusaka wadhamini na jinsi fedha zilivyotumika, report hiyo mpaka sasa iko kapuni na ndio maana Mangula alizimika ghafla bin vuu. Nilishangaa kumuona juzi kwenye kampeni za Igunga.

Magazeti juzi yaliandika Lowassa jinsi alivyomkumbusha JK namna watu wa maadili walimvyom-deal JK na kwamba ni "busara" za Mkapa ndizo ambazo zilimwokoa JK, kama si hivyo asingekuwa Rais.

Kama kweli Mkapa hakushiriki kumweka JK hapo Ikulu, ni kwanini alimpigia debe siku ya kuchagua mgombea? Kama Mkapa hakumweka hapo, kwanini hakufanyia kazi tuhuma za JK ambazo zilipelekwa kwenye kikao na watu wa maadili? Kama kweli Mkapa hakumweka hapo, kwanini hakukemea matumizi ya hongo kwenye Mkutano Mkuu wa 2005 wa kumteua JK? Mzee Butiku aliandika barua kwa Mkapa mara baada ya mkutano ule, mzee wa watu mpaka anaenda kwenye public barua ile haikuwa na mjibu na ninadhani iko hapa hapa JF maana nakumbuka iliandikwa kwenye magazeti kama ilivyo.

Ukishaona Top wa TISS zama hizo ni mwana mtandao, then lazima uweke maswali mengi sana. TISS inatakiwa kuwa neutral ili iweze kufanya kazi bila upendeleo wowote kwa yeyote yule.

Mwisho, Tanzania kuwa omba omba na yeye Mkapa ameshiriki katika kutuingiza kwenye huo mkenge, ametuachia mikataba mibovu ya madini, ambayo badala ya kunufaisha nchi imekuwa inanufaisha wageni. Ukisoma report za BoT wanaonyesha Tanzania tunapata dollar kibao za mauzo ya dhahabu, lakini shilingi yetu inazidi kuporomoka siku hadi siku. Hizo dollar ziko kwenye makaratasi tu kwa sababu ubovu wa mikataba na incentive packages ambazo makampuni ya kuchimba madini wamepewa.
 
Makosa ya Mkapa hayahalalishi udhaifu wa uongozi mwingine.
Na kuhusu huo mtindo wa kura tatu (CCM) waulize wanamtandao wanajua. Walianza na kumpaka matope Dr Salim wakaishia kubadilisha mfumo. Sasa dhambi ile ile inaendelea kuwatafuna. Mnara wa Babeli!
Kumzungumzia Huyu mswahili wa Msoga ni kupoteza muda tu, kwani udhaifu wake wa kiuongozi hata wale malaya wauza uchi pale Jolly club wanaujuwa. nchi ni kama haina Rais.
 
Mkapa knew all this is advance? Why did he allow the guy to take power?
 
Serikali matonya kiasi hiki haiwezi kuwa na ubunifu wowote zaidi ya kubadilisha namna na mtindo wa kuwa matonya zaidi.
 
wataji camerun wenyewe huko huko kwao wasilete ujinga wao nguruwe kabisa hawa..

Ukali hausaidii wewe jiandae tu. Kwani hujui kuwa anayesaini ni mmoja kwa niaba ya taifa. Kama keshakula vya watu utabisha mpk lini. Loh, bakuli linatuponza hivi hivi....!

Juzi juzi hapa alikuwa anawahimiza nchi wahisani watusaidie kilimo kwanza bila aibu. Sijui kama tutamkwepa Kameruni
 
Baada ya maovu yote aliyotufanyia hili taifa ikiwa ni pamoja na kutuwekea serikali ya sasa, bado ana ubavu wa kuongea! Only in Tanzania.
...Kabisa. Yeye angekaa kimya tu. Kwanini Kikwete asiwe ombaomba kama yeye aliuza na kuua viwanda vilivyokuwapo? Mikataba hii ya madini ilikua kipindi gani?

...I would dare suspect Kikwete was crippled with EPA, which was engineered by "yours truly". Akabaki kutema hawezi kumeza hawezi.
 
Atakayekuja baada ya JK...

Wakati huo JK atakuwa nafuu sana utanunua mchele kwa Ts.6000..

Huo ndio uchumi wa pesa (karatasi) unavyokuwa hadi ufe kifo cha mende..

Wait and see

Hayo ni matarajio yako kwa uoga unaokutawala. Huyu kashindwa kwa yake, hayo ya ajaye huo ni utabiri tu. Hii nchi akipatikana mtu mwenye akili haistahili kuombaomba. Tunachotakiwa kufanya ni kumuomba Mungu awafumbue macho nyinyi mnaopigia kura chama kwa mazoea na woga wa vita. Zile NET za mbu ndio zitatuponza tushikishwe ukuta kama hujui
 
Na mnafiki namba 1 ni huyo Mkapa ambaye achoki kuwasafisha mafisadi, aibu kwake mwenyewe kama mwenyekiti wa magamba mng'atuka kutokushauri serikali inayoongozwa nao kufikia hatua hiyo. Kwani leo ndo anaona uhuni wa serikali dhidi ya wanaNchi? Kwani leo ndo anasikia kuwa mrithi wake ni mguu na njia kila siku akiombaomba, bahati mbaya hatujui hata vinavyoombwa vinaelekezwaga wapi? Kwani leo ndo anaona shilingi yetu ikiporomoka kwa sababu ya kushindwa kuwastabilise uchumi? Kwani leo ndiyo anasikia kuwa mwaka jana zilifyatuliwa hela mpya 'pamoja na feki', zilizochangia pia kuporomoka kwa uchumi wetu.

Na alipoenda kupiga debe Igunga, na magunia ya mahindi begani kwa ajili ya kuwahadaa wanaIgunga hakuwa anaona aibu, leo anajishebedua nini kama sio unafiki. Ebu atoe unafiki wake huko huyo Mkapa, asituhadae na maneno ya kinafiki hapa.

Na waendelee kuomba, si wanaona raha kupanda ndege kila kukicha na msururu wa msafara ambao hata haueleweki unafuata nini huko ughabuni?

Wala simlaumu Kikwete, mnafiki namba 1 ni Mkapa. Mkapa angekuwa na sauti ya kusikilizwa Nchi isingefikia hapa ilipo. Mbona wakati wa Baba wa Taifa michezo ya kitoto hiyo haipo? Na inapojitokeza inakemewa kwa sauti ya kusikilizwa?
 
...Kabisa. Yeye angekaa kimya tu. Kwanini Kikwete asiwe ombaomba kama yeye aliuza na kuua viwanda vilivyokuwapo? Mikataba hii ya madini ilikua kipindi gani?

...I would dare suspect Kikwete was crippled with EPA, which was engineered by "yours truly". Akabaki kutema hawezi kumeza hawezi.

Watanzania tusiwe wanafiki na wajinga, yeye akae kimya ndio maana yake nini? Kukosea hakumaanishi huoni makosa ya mwenzio. Kwa nini huyu anayeombaomba asiseme ya Mkapa kama kweli yapo? Huo ni u-CCM wa kulindana na kukataa kusikiliza ukweli. Kama kuombaomba kwake kunasababishwa na Mkapa basi na ajiuzulu. Tena bila aibu unamtetea, kuwa na kiongozi pathetic ni zao la kura za pathetic voters, Mungu ihurumie Tanzania
 
''Edward Lowassa kwa umahiri mkubwa, alikusanya
vijana kutoka nchi nzima na kuwaleta Dodoma ili
kuwatisha wazee kuwa Jakaya Kikwete
asipoteuliwa, CCM ingesambaratika vibaya sana.
Pamoja na jeuri yake na msimamo wake, Rais
Mkapa aliogopa sana pale alipoitwa na wazee aliowakuta Dodoma na kuambiwa kuwa “chaguo
ni Jakaya” vinginevyo Dodoma hapatatosha. Mkapa alinywea na kujikuta anaimba wimbo wa
Jakaya huku Lowassa akiwa anachekelea kwa
kejeli ya hali ya juu. Akiwa ni kamanda wa
mtandao uliomwingiza Kikwete Ikulu, Lowassa
kwa wema na ubaya, aliufahamu udhaifu wa
Kikwete na kuufanya mtaji wa kumhujumu wakati wowote. Alichokifanya wiki iliyopita ni utangulizi
wa makubwa yajayo. Mbinu aliyoitumia Lowassa mwaka 2005 kumtisha
Mkapa ili kumwachia Jakaya aingie bila mikwaruzo,
ndiyo hiyo hiyo aliyoitumia ‘kummaliza’ Kikwete
wiki iliyopita mjini Dodoma. Alikusanya makundi ya
vijana kutoka sehemu mbalimbali na kuwaleta
Dodoma huku akiwachochea kuwa umoja wao unafutwa; aliwakamata wazee kadhaa maarufu
katika chama na kuwafadhili; akawakamata baadhi
ya wenyeviti wa mikoa; akaigawa sekretariati ya
CCM na kisha akawapata Wazanzibari wengi
upande wake.''

Hii hi nukuu toka makala ya msomaji raia gazeti la raia mwema toleo la 214. Mkapa alitumiwa tu na hawa wanamtandao kufanikisha ya kwao
 
Vingozi wetu ni kama mazezeta vile. Wanagawa maliasili zetu kwa mikataba ya kipumbavu wanategemea nchi ipate wapi mapato na kuiwezesha kujitegemea? Wanajinufaisha wao at the expense of the country, then wanakuja kulalama maneno yasiyo na tija bila hata aibu. Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom