Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
- Thread starter
- #101
Nimerudia kusoma hayo maneneo has katika policy ya serikali ya tanzania juu ya kuvutia wawekezaji na juu ya grabbing ya ardhi ya wanakijiji na kuwapa wawekezaji, imeniuma saaana! Hivi ni kitu gani kinaweza fanyika kurekebisha hayo! nilikuwa ninaonge ana kijana mmoja wa spani akaniemBIA NI vema kufuta sisa kama zile za viongozi wa amerika ya kusini! na hilo linatakliwa KUWALAZIMISHA WAWEKEZAJI WAKAE KATIKA MEZA NA KUINGALIA UPTA MIKTA NA KAMA HAWATAKI THEN KUBALI KUITWA DIKTETA NA CANADA NA UINGEREZA NA MAREKANI LAKINI KWA MASLAHI YA WATANZANIA JE KIONGOZI MWENYE HIZO GUTS TUTAMPATA WAPI? CHADEMA MWAMWEZA? ZITTO WAWEZA? SLAA WAWEZA? TUAMBIE JAMANI KABLA WENYEWE HATUJAAMUA!
Mkuu dawa ya haya yote ni M4C. Tuwape nafasi na muda maana hawa waliopo wameshajikita mfano wa ruba. Sasa hawa ruba wakipuliziwa M4C lazima walegee