KERO Mkandarasi aliyepewa Barabara ya Ubungo - Kimara Mwisho hawezi ile kazi!

KERO Mkandarasi aliyepewa Barabara ya Ubungo - Kimara Mwisho hawezi ile kazi!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,139
Reaction score
88,800
Kwa mtumiaji yeyote wa barabara ya Morogoro Rd, atakubali Ubungo Mataa - Kimara ni sehemu fupi ila ya kero sana kwenye foleni.

Sasa huyu mkandarasi yeye amechimbua chimbua kila sehemu halafu ameacha na magari ametoa, inapelekea foleni moja kubwa sana.

Mfano, pale Kimara Mwisho pana foleni kali sana sana sana mida ya asubuhi na jioni, na yote ni kwasababu ya uzembe wa huyo mkandarasi na timu yake.

Mamlaka husika hebu tuoneeni huruma wakazi wa Kimara, kama mnajali.
 
Mkandarasi anaweka Rami Mita 20 alafu anapotea , rami yenyewe hailingani na Ile ya zamani Yani kuhama lane ya zamani kuingia lane mpya ni kama unaingia bondeni , mkandarasi haeleweki hata anajenga nini yupo busy Kwa kweli ila kinachojengwa hakieleweki na hakionekani , lane yenyewe iliyongezeka ni moja tuu na NI nyembamba hatari
 
Hiyo barabara ilikuwa iishe Julai 2025, akatembelea Mkuu wa Mkoa akaongeza hadi Oktoba; kinachofuata hapo utasikia inaisha June 2026.
Hata BRT 3 kuelekea Airport.
Walipaswa wamalize march 2025. Wakaongezewa miezi Sita hadi september.

Sasa tunaelekea december, bado ujenzi unaendelea

Na kuna dalili zote, mradi ukaisha, tukakaa mwaka mzima bila mabus kama ilivyokuwa mbagala.
Kimsingi kwa sasa ilibidi tuwe tunaona mabasi yako bandarini ay yard, yakisubiri kuanzia kusafirisha abiria january.

Sasa wao scanning mashine, hawajewaka. Wanasubiri mabus yafike ndo waweke Mashine mwezi mzima.


Tuna serikali zembe sana aisee
 
Hao kenge wakipewa kichapo wanaanza kulia lia, ila watu wa gaza ni wataratibu sana, dar hii ingepatikana gaza km 5 tu mbona huyu chura angeshakimbia hii nchi
Wanaishi kwa mazoea. Anashindwa ata kusoma harama za nyakati. Mwendokasi hazifanyi kazi, kwahiyo kila mtu anatumia daldala na bajaji + LATRA wametoa vibari kuongeza magari, pae pamekua pamoto. Clearly zile ni dharau, like “mtanifanya nini?”
 
Kwa mtumiaji yeyote wa barabara ya Morogoro Rd, atakubali Ubungo Mataa - Kimara ni sehemu fupi ila ya kero sana kwenye foleni.

Sasa huyu mkandarasi yeye amechimbua chimbua kila sehemu halafu ameacha na magari ametoa, inapelekea foleni moja kubwa sana.

Mfano, pale Kimara Mwisho pana foleni kali sana sana sana mida ya asubuhi na jioni, na yote ni kwasababu ya uzembe wa huyo mkandarasi na timu yake.

Mamlaka husika hebu tuoneeni huruma wakazi wa Kimara, kama mnajali.
Wakandarasi wasenge wasenge km hao hua wanawatoaga wapi?
 
Mkandarasi anaweka Rami Mita 20 alafu anapotea , rami yenyewe hailingani na Ile ya zamani Yani kuhama lane ya zamani kuingia lane mpya ni kama unaingia bondeni , mkandarasi haeleweki hata anajenga nini yupo busy Kwa kweli ila kinachojengwa hakieleweki na hakionekani , lane yenyewe iliyongezeka ni moja tuu na NI nyembamba hatari
Ule ni ujinga. Lane tatu zile mbili za zamani zipo juu, ile ya tatu shimo kubwa kabisa linaweza kusababisha ajali.
 
Hata BRT 3 kuelekea Airport.
Walipaswa wamalize march 2025. Wakaongezewa miezi Sita hadi september.

Sasa tunaelekea december, bado ujenzi unaendelea

Na kuna dalili zote, mradi ukaisha, tukakaa mwaka mzima bila mabus kama ilivyokuwa mbagala.
Kimsingi kwa sasa ilibidi tuwe tunaona mabasi yako bandarini ay yard, yakisubiri kuanzia kusafirisha abiria january.

Sasa wao scanning mashine, hawajewaka. Wanasubiri mabus yafike ndo waweke Mashine mwezi mzima.


Tuna serikali zembe sana aisee
Kuna barabara imekarabatiwa ya Haile Selassie Rd (ile ya Masaki ushuani) kutoka hapa kanisani Ali Hassan Mwinyi Rd, ile barabara imekarabatiwa yote (na vinjia vidogo vidogo binavyoifeed) ndani ya muda wa chini ya mwezi.

Kusema kweli hizi ni dharau kwa wakazi wa huku nje ya mji.
 
Kwa mtumiaji yeyote wa barabara ya Morogoro Rd, atakubali Ubungo Mataa - Kimara ni sehemu fupi ila ya kero sana kwenye foleni.

Sasa huyu mkandarasi yeye amechimbua chimbua kila sehemu halafu ameacha na magari ametoa, inapelekea foleni moja kubwa sana.

Mfano, pale Kimara Mwisho pana foleni kali sana sana sana mida ya asubuhi na jioni, na yote ni kwasababu ya uzembe wa huyo mkandarasi na timu yake.

Mamlaka husika hebu tuoneeni huruma wakazi wa Kimara, kama mnajali.
Mirad mingi inasua sua sababu ukwasi tee!

Hata ile ya madaraja ya WB nayo naona imesimama,hela!
 
UPDATE: Sijui ni JF au ratiba ya mkandarasi, jioni hii kaleta machine zake zimeanza kufanya kazi.
IMG_2402.jpeg
IMG_2403.jpeg
IMG_2406.jpeg
 
Back
Top Bottom