Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,054
Mkuu hii taarifa in a match kabisa na taarifa kamili ..usibeze...
Myatake: Kuna mengi yatafumuka.....na hata mkutano wa Jk na Chadema Leo ..... Ni moja ya njia ya Jk kufanya PR management .......huu mkutano wa Leo umesaidia kupunguza focus kidogo ya Jk kubebeshwa zigo la Richmond ......Chadema utagundua walikaa kimya ili wasivuruge mkutano wa katiba.....
Membe anautaka urais kwa kufa na kupona ....though kwa maoni yangu naona hatafaa kwani naye Ana siasa za ujanja ujanja Kama Jk.......
Na katika siku za karibuni amejitahidi kujisogeza karibu na rais Hadi kumfunika Pinda.......karibuni KIkwete alipokewa airport na makamu,Pinda na Membe......lakini kwenye mpangilio kiitifaki Membe alionekana muda mrefu kuwa upande wa kulia wa rais huku Pinda akiwa nyuma.....kwenye protocol haikubaliki....na it is amounting to misconduct of membe to PM and VP.
Hata kikao cha Leo ....hakuwa na role pale wall hakuwa na muda wa kuhudhuria lakini ili kujijenga kwa Chadema alijitahidi Angalau afanye appearance ......na hapo hapo ...aende kuwazika mapadri.....
Zitto yupo Sahihi kuwasema mawaziri dizaini ya Membe wasiofanya kazi zaidi ya kuuza sura.
Mkuu sijabeza. Kuna mtu amesema ni hadithi nami nikasema kama ni hadithi basi jamaa anajua kutunga kwa kuwa wahusika wote wameuvaa uhusika. Naamini kabisa kwamba hii thread ina kitu na wala si ya kubeza.