Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Usimsahau Mzito Kabwela na idawa.

Ila siku hizi CDM ina wafuasi mbumbumbu kabisa kama akina Mmawia.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ila mbowe kiboko yaan aliwalambisha wanachama wake malimao jmn
 
Jamaa hana hata aibu. Nakuambia jamaa anaweza kuhamisha magoli huku anakuangalia usoni. Kwa mfano yule anayejiita BAK nae pia ni mmojawapo.
BAK ndio mbaya kuliko wote jwa sababu hajui analofanya lina mtia aibu tuu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ila mbowe kiboko yaan aliwalambisha wanachama wake malimao jmn
Sema yote kwa yote, kuwa mfuasi mtiifu wa hivi vyama unatakiwa kwanza kwenda hospital kulegezwa screws za kichwani vinginevyo, ni ngumu sana... binafsi siwezi kabisa!
 
Sema yote kwa yote, kuwa mfuasi mtiifu wa hivi vyama unatakiwa kwanza kwenda hospital kulegezwa screws za kichwani vinginevyo, ni ngumu sana... binafsi siwezi kabisa!
N kweli mara nyingi ni kujifunga fikra uki ingia kwenye vyama, unakuwa u ashindwa hata kujaji vitu kwa usahihi ila unatumia u chama tuu
 
Hivi watu mnaoteshwa au ni nini hiki jamani! ndio maana kila post hapa JF naiheshimu maana sijui matokeo yake hapo baadae
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
ahahahahahahahahaah, aiseeee! maandishi ya JF hayafutikagi sijui kwanini!
 
Dah ..nikisoma huu uzi naona makamanda tulivyochemka
 
JF ni kiboko yao.
Kuna watu huwa wanazo data nyeti sana.
Wakizitoa watu hubisha hadi pale ukweli unapokuwa dhahiri.
 
LOWASSA NI NGUMU KUINGIA UKAWA KAMA ILIVYO KWA NGAMIA KUPENYA KTK TUNDU LA SINDANO"lowasa for presidential 2015"via CCM
Inabidi haya maneno uyameze...
Lowassa kamshinda ngamia..kapenya na kuteka ngome yote ya ukawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…