Huyu ndiye aliyeamua kujiuzulu kashfa ya Richmond ili kumponya jamaa yake asiumbuke. Hata hivyo jamaa yake akawatuma vijana wake akina Nape wamuite Gamba mbele za watu bila kujali kuwa alijitoa muhanga kwa ajili yake.
Ndio maana Profesa Mwongo kakomaa hataki kujiuzulu kwani anajua ukijitoa muhanga huku unamsaidia mkulu yeye analeta uswahili anakutosa.
Hii CCM hii! We acha tuu. Ni kama kundi la mazimwi
LOWASSA hawezi bila CCM, Acheni kujidanganya!
Mkuu hawa BAVICHA wengi ni walevi wa mirungi! Lowassa sio mjinga kama wanavyodhani!
UKAWA wasimkatae akija kama mwanachama au kugombea jimbo la Munduli lakini si cheo cha uraisi. Kwa nini aje mwisho kisha apewe ugombeaji wa uraisi? Maana yake shida yake ni urais walasi upinzani! Alikuwa na nafasi nzuri sana muda wote kuingia upinzania hawezi tena. Pili hana jipwa Lowasa, alisha zeeka apumzike huyu.
Ukawa wakimpokea lowassa ntaipigia kura ccm
Kwa sasa hana pa kuficha usoMkuu mbona bado uko UKAWA?
Ni mnafiki tu, hana pa kuficha usoUmeishi maneno yako ama ulizuga tu?
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Yaan comments za mwanza ktk uzi huu zimenichekesha sana,nyumbu walikuwa wanamponda sana lowasa wakati yuko ccm ila siamin kama ndio hao hao ambao leo hii wanamzungushia mikono.
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
MnafikiiiiiiiiiiiiiiiiHata mimi nilikuwa na mawazo kama haya hapo awali. Lakini baada ya Lowassa kufunguka ukweli wote na kujua hiyo Richmond ni nini na nani hasa muhusika nilibadili msimamo wangu juu yake.
Binadamu huwezi kumchukia mtu kwa vile umeambiwa ni mchawi halafu ukaja ujua ukweli nawe ukaendelea na msimamo wako uleule. Huo utakuwa ujinga mkubwa, ambao watu wa ccm wanataka tuwe hivyo. After 8 years tumeujua ukweli na ule uovu tuliokuwa tunaambiwa ni wa Lowassa bado uko huko huko wanaendelea nao.
Na hao hao CCM walikuwa wanampongeza sana Lowassa mpaka kumpa kura nyingi za maoni lakini sasa wanamponda. Wanasema ukiujua ukweli utakuweka huru. Lowassa hapo awali hakufunguka na kuweka wazi ukweli, sasa kauweka ukweli wazi watu hawawezi kuendelea na chuki wakati ukweli wameshaujua.
Kwa sasa i choose to ignore u......u mnafikiKama unafika mahali unaujua ukweli na bado ukasimamia uongo uliouamini awali basi wahitaji kupimwa akili.
Kwa sasa i choose to ignore u......u mnafiki