ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,449
- 2,574
Kula na kuliwa.Nini maana ya michicha mwiba?
Nakazia hapa.Utafiti wa wanaume wanaoongoza kuhonga wanawake..
--99% wenye sura ngumu ni wahongaji wakubwa.
-- 90% vibamia nao ni wahongaji wakubwa.
--80% midomo zege nao wahongaji wakubwa.
--70% wachovu kitandani nao ni wahongaji wakubwa.
--40% handsome boy wanahonga ,,,60% wanahongwa wao na wanawake.
Ukiona mwanaume aina hii katika mahusiano wala usipate nae shida..
Analyse proved 100%...
Ndy maana warembo wengi now wana date na wanaume wenye sura ngumu.
Majimama yenyewe siku hz Njaa Kali. Hayana pesa
Mkaka full handsome ila ubahili zaidi ya Bodi ya Mikopo.
😂😂😂Alafu utakuta mwanaume kapost.
Dunia inaenda kasi sana
Mahandsome wengi ni wachoyo 😆Maisha hayana formula kuna mahandsome na pesa wanayo kuna kina zinjanthropus na pesa hawana
Hivyo msikariri kua mahandsome hawana pesa
Huu ukweli umenigusaMa handsome mara nyingi hawana pesa na wanakua na wanawake wengi wanao wapenda.
AiseeMkaka full handsome ila ubahili zaidi ya Bodi ya Mikopo.
Sio wachoyo, hawana hela na wanapenda kulelewa.Mahandsome wengi ni wachoyo
Na AKILI pia hawanaSio wachoyo, hawana hela na wanapenda kulelewa.
Ndugu EINSTEIN112 huyu kijana tajwa apo juu anunuliwe maji ya mia apumzike analinda chamaMkaka full handsome ila ubahili zaidi ya Bodi ya Mikopo.
NakubaliTatizo linaanzia pale unapotaka wewe upewe tu bila ya kutimiza wajibu wako.
Tatizo linakuwa kubwa zaidi unapojikuta kuwa wewe ni wa kupewa tu bila kujua kuwa vinatafutwa vipatikane nawe uvipate na kuna kitu inaitwa KUANZIA CHINI
Anunuliwe kandoro eehNdugu EINSTEIN112 huyu kijana tajwa apo juu anunuliwe maji ya mia apumzike analinda chama