Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Arusha ajiunga CHADEMA

Sijafurahi sana.Kitu pekee kinachoweza nifurahisha ni kuwahamasisha Wanachadema wengi kujiandikisha kupiga kura siku milango ya kufanya hivyo ikifunguliwa.Huyu mtu aliengia Chama ni mmoja sasa tunahitaji wapiga kura wengi iwezekanavyo.Napendekeza kila mkutano wa ndani na hadhara ajenda kuu ya UKAWA iwe ni kuwaasa watu wengi WAKAJIANDIKISHE kipenga kikipulizwa.
 
Chama cha Mapinduzi Arusha leo kimepata pigo kubwa baada ya Francis Ole Okayo kujitoa ndani ya chama hicho na kujiunga na Chadema.

Katika mkutano wa ndani unaoendelea muda huu jimboni Longido Okayo amekabidhi rasmi kadi yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Mjumbe huyo wa Halmashauri kuu mkoa wa Arusha kati ya 2007-2012 ambaye ana nguvu kubwa jimboni Longido amesema CCM imeshakufa na kinachosubiriwa ni mazishi yake tu Oktoba mwaka huu.

Baadaye jioni mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anatarajiwa kuwasili kwa chopa mjini Longido kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa kumpokea rasmi Francis Ole Okayo Chadema
mkuu Molemo Okayo ni mjumbe wa halmashauri kuu au ni aliyekuwa mjumbe wa halmashauri kuu. Inakuwa kama habari za magazeti pendwa
 
Sijafurahi sana.Kitu pekee kinachoweza nifurahisha ni kuwahamasisha Wanachadema wengi kujiandikisha kupiga kura siku milango ya kufanya hivyo ikifunguliwa.Huyu mtu aliengia Chama ni mmoja sasa tunahitaji wapiga kura wengi iwezekanavyo.Napendekeza kila mkutano wa ndani na hadhara ajenda kuu ya UKAWA iwe ni kuwaasa watu wengi WAKAJIANDIKISHE kipenga kikipulizwa.
Tumelifanya hilo na wametuaidi watajiandikisha wote
 

Attachments

  • IMG-20150221-WA0062.jpg
    IMG-20150221-WA0062.jpg
    148.7 KB · Views: 172
Chama cha Mapinduzi Arusha leo kimepata pigo kubwa baada ya Francis Ole Okayo kujitoa ndani ya chama hicho na kujiunga na Chadema.

Katika mkutano wa ndani unaoendelea muda huu jimboni Longido Okayo amekabidhi rasmi kadi yake kwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini Amani Golugwa.

Mjumbe huyo wa Halmashauri kuu mkoa wa Arusha kati ya 2007-2012 ambaye ana nguvu kubwa jimboni Longido amesema CCM imeshakufa na kinachosubiriwa ni mazishi yake tu Oktoba mwaka huu.

Baadaye jioni mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anatarajiwa kuwasili kwa chopa mjini Longido kuongoza mkutano mkubwa wa hadhara wa kumpokea rasmi Francis Ole Okayo Chadema
Safi sana tutaheshimiana tu.
 
mkuu pasco huyu mzee anaitwa Francis Ndipapa ole Ikayo (mtoa mada amekosea) namfahamu vizuri anaushawishi mkubwa mno longido sijui kwanini amehama

alikuwa mnazi sana wa ccm ukiona mpaka yeye kahama ujue ccm longido inayo kazi kubwa huyu ndio alikuwa mpinzani mkubwa sana wa laizer (rejea kura za maoni ccm 2010)

twende mbele turudi nyuma ccm imepata pigo

Okay Kilaza katika hili tutaelewana tu. Sera za CCM zimeshindwa kwa kiasi kikubwa; hazifai ndio maana watu wanaojitambua wanahamia kwenye nuru na kuacha giza la CCM
 
Last edited by a moderator:
Tumelifanya hilo na wametuaidi watajiandikisha wote

CDM KWANZA.Kwa hilo umenikosha.Sasa nakupa jingine,nilikua nasoma comment ya mchangiaji mmoja alishauri jambo kama hili lakini alinishitua pale chama cha majambazi CCM kinapotumia tamko la kujitoa kwa UKAWA kwenye kura ya maoni.Wanawadanganya watu vijijini wapenda CDM na UKAWA kua hawana haja ya kujiandikisha kwa sasa eti kwa kua UKAWA wamejitoa ktk kura ya maoni.
Huu ni uongo mbaya kwa sababu daftari hilohilo moja litatumika na chaguzi zingine hususan uchaguzi mkuu ujao.Naomba na hili watu waelimishwe kupitia mikusanyiko mikubwa kama hii na kwa nchi nzima.Nitafurahi tena kwa mrejesho.
 
CDM KWANZA.Kwa hilo umenikosha.Sasa nakupa jingine,nilikua nasoma comment ya mchangiaji mmoja alishauri jambo kama hili lakini alinishitua pale chama cha majambazi CCM kinapotumia tamko la kujitoa kwa UKAWA kwenye kura ya maoni.Wanawadanganya watu vijijini wapenda CDM na UKAWA kua hawana haja ya kujiandikisha kwa sasa eti kwa kua UKAWA wamejitoa ktk kura ya maoni.
Huu ni uongo mbaya kwa sababu daftari hilohilo moja litatumika na chaguzi zingine hususan uchaguzi mkuu ujao.Naomba na hili watu waelimishwe kupitia mikusanyiko mikubwa kama hii na kwa nchi nzima.Nitafurahi tena kwa mrejesho.
Kamanda tumeliona hilo natumeshaanza kulifanyi kazi mbeya Dar na huku longido tulipokua ndio tulikua tunawaelewesha na wametuelewa asante kwa kuliona hilo natunaendelea kufanyia kazi
 
CCM naona wamegoma kuja huku, Pasco, LAKI sipesa, MUSSA ALLAN, FaizaFoxy njooni huku

Sasa umeniitia hizo porojo? huyo hayuko Halmashauri kuu ya CCM kama alikuwepo basi hata katika historia hayumo. Kasome tena post namba moja, tazama na hiyo miaka iliyoandikwa halafu tazama leo uko mwaka gani? kisha ujione ulivyo punguani kwa kuniitia huu upuuzi.
 
Sasa umeniitia hizo porojo? huyo hayuko Halmashauri kuu ya CCM kama alikuwepo basi hata katika historia hayumo. Kasome tena post namba moja, tazama na hiyo miaka iliyoandikwa halafu tazama leo uko mwaka gani? kisha ujione ulivyo punguani kwa kuniitia huu upuuzi.

Naona wewe makengeza ya kenge umeshawasili hakuna ufisadi huku
 
Back
Top Bottom