Hakika ccm hawana lao hapa tunakoelekea,Fua gamba Vaa Gwanda
Hongera sana Kamanda Fransis Ole Okayo.[
/QUOTE]
Hii ni mwanzo tu,kipigo cha serikali za mitaa ni salamu,ccm watenge fedha nyingi kuhonga polisi ili wawatetee!
Na ule mpango wa JWTZ kusimamia uchaguzi ili kuvuruga tumeshaupata,polisi na wanajeshi wazalendo wameapa kuwashughulikia wakala wao